Gharama za usafiri Air Tanzania zinatisha

Gharama za usafiri Air Tanzania zinatisha

zipumbovu

Member
Joined
Nov 27, 2023
Posts
22
Reaction score
344
Habari wakuu

Mwisho wa mwezi huu Nina safari ya kwenda MPANDA, kwakua ni safari ya zaidi ya masaa 17 nikaona bora nipande ndege ili nisijichoshe na safari ndefu. Nikaamua nianze mchakato wa kubook ticket mapema 😤 nimekuta gharama yake ni zaidi ya Tsh 700k kwa Mtu Mmoja na hiyo ni kuenda tuu sio kwenda na kurudi, nikahisi pengine niushamba wangu namna ya kukata ticket online pengine sijui, nikaamua niwapigie simu ✈️ majibu yako ni kwamba bei niliyo iona ndio hiyo hiyo, zaidi ya 700k Tsh.

Miaka miwili nyuma niliwahi kufanya safari ya Mpanda to dar kwa gaharama ya Tsh 200k na chenji kidogo

Mimi nilihisi pengine naweza kusafiri kwa gharama ya Tsh 300k lakini kwa hiyo 700k sina ujanja kwa kweli. Kesho naenda kukata ticket ya bus 79k.

Screenshot_20240620-132918.png
 
Usihangaike mkuu, wekata AN Bus, hii kuna bus la saa 12 alfajiri na lingine linaondoka saa 12 jioni. Uchaguzi ni wako moja kwa moja from Dar to Mpanda via Tabora, safari ya masaa 15 unakua umefika, nauli ni 79,000Tshs.
Kama ukiona aje panda Happy Nation from Dar to Mpanda via Tabora, safari ya masaa 17 unakua umefika, nauli ni 75,000Tshs.
 
Habari wakuu

Mwisho wa mwezi huu Nina safari ya kwenda MPANDA, kwakua ni safari ya zaidi ya masaa 17 nikaona bora nipande ndege ili nisijichoshe na safari ndefu. Nikaamua nianze mchakato wa kubook ticket mapema 😤 nimekuta gharama yake ni zaidi ya Tsh 700k kwa Mtu Mmoja na hiyo ni kuenda tuu sio kwenda na kurudi, nikahisi pengine niushamba wangu namna ya kukata ticket online pengine sijui, nikaamua niwapigie simu ✈️ majibu yako ni kwamba bei niliyo iona ndio hiyo hiyo, zaidi ya 700k Tsh .
Miaka miwili nyuma niliwahi kufanya safari ya Mpanda to dar kwa gaharama ya Tsh 200k na chenji kidogo

Mimi nilihisi pengine naweza kusafiri kwa gharama ya Tsh 300k lakini kwa hiyo 700k sina ujanja kwa kweli. Kesho naenda kukata ticket ya bus 79k
Duuu.....laki saba? Punde zitafika Gharama za NASA kwenda Mwezini..I miss fast jet....hivi Precision Air wapo na route zao zikoje?
 
Back
Top Bottom