Gharama za usafiri Air Tanzania zinatisha

Gharama za usafiri Air Tanzania zinatisha

Kwanza ukikata ONE WAY ni gharama kuliko two way.

Pia, muda unaokata mfn imebaki siku moja au wiki moja ni gharama zaidi.

Class unayochukua pia...

Kingine flight time inachangia gharama.

Pia hiyo hela unayoona hapo bado sio yenyew ukiona imeleta 700k ujue kuna 50+k mbele..
Kodi
Siti
etc..

Ndege sio za hoehae, kama huna hela dandia SARATOGA ,SAIBABA, KIMBINYIKO etc.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bei ingekuwa nafuu wateja wangekuwa wengi
Labda wanatafuta namna ya kulipigisha shoti ili walibinafsishe..kama kwenye projects nyingine ambazo tulismbiwa ni white elephant lakini muda huu wanazitaka!!!
Lakini, ange book mapema sana na ikawa two way ingepungua
 
Habari wakuu

Mwisho wa mwezi huu Nina safari ya kwenda MPANDA, kwakua ni safari ya zaidi ya masaa 17 nikaona bora nipande ndege ili nisijichoshe na safari ndefu. Nikaamua nianze mchakato wa kubook ticket mapema 😤 nimekuta gharama yake ni zaidi ya Tsh 700k kwa Mtu Mmoja na hiyo ni kuenda tuu sio kwenda na kurudi, nikahisi pengine niushamba wangu namna ya kukata ticket online pengine sijui, nikaamua niwapigie simu ✈️ majibu yako ni kwamba bei niliyo iona ndio hiyo hiyo, zaidi ya 700k Tsh.

Miaka miwili nyuma niliwahi kufanya safari ya Mpanda to dar kwa gaharama ya Tsh 200k na chenji kidogo

Mimi nilihisi pengine naweza kusafiri kwa gharama ya Tsh 300k lakini kwa hiyo 700k sina ujanja kwa kweli. Kesho naenda kukata ticket ya bus 79k.

View attachment 3021405

Kama kuna agent unamfahamu mfuate!! Utakupunguzia bei chini ya hapo!!

Watanzania watu wa hovyo sana, agents wanachofanya wanabook ticketi almost zote ili zipande gharama wao waziuze bei juu na kupata faida kubwa!! Hii nchi ya hovyo sana!!
 
Wakati Malawi Air kutoka Daslm kwenda Johannesburg kupitia Blantyre ni Tsh 638,000 tu tiketi moja nauli za ndege bongo ni kiboko aisee inawezekana na kodi pia zipo juu ndio imefanya nauli kuwa juu maana Tanzania ndege ni starehe kama magari na kikokotoo cha TRA..
 
Usihangaike mkuu, wekata AN Bus, hii kuna bus la saa 12 alfajiri na lingine linaondoka saa 12 jioni. Uchaguzi ni wako moja kwa moja from Dar to Mpanda via Tabora, safari ya masaa 15 unakua umefika, nauli ni 79,000Tshs.
Kama ukiona aje panda Happy Nation from Dar to Mpanda via Tabora, safari ya masaa 17 unakua umefika, nauli ni 75,000Tshs.
Naongezea BUBELE express saa Moja usiku
 
Habari wakuu

Mwisho wa mwezi huu Nina safari ya kwenda MPANDA, kwakua ni safari ya zaidi ya masaa 17 nikaona bora nipande ndege ili nisijichoshe na safari ndefu. Nikaamua nianze mchakato wa kubook ticket mapema 😤 nimekuta gharama yake ni zaidi ya Tsh 700k kwa Mtu Mmoja na hiyo ni kuenda tuu sio kwenda na kurudi, nikahisi pengine niushamba wangu namna ya kukata ticket online pengine sijui, nikaamua niwapigie simu ✈️ majibu yako ni kwamba bei niliyo iona ndio hiyo hiyo, zaidi ya 700k Tsh.

Miaka miwili nyuma niliwahi kufanya safari ya Mpanda to dar kwa gaharama ya Tsh 200k na chenji kidogo

Mimi nilihisi pengine naweza kusafiri kwa gharama ya Tsh 300k lakini kwa hiyo 700k sina ujanja kwa kweli. Kesho naenda kukata ticket ya bus 79k.

View attachment 3021405
wanachokosea kila kitu wanapiga kwa dolari
 
Habari wakuu

Mwisho wa mwezi huu Nina safari ya kwenda MPANDA, kwakua ni safari ya zaidi ya masaa 17 nikaona bora nipande ndege ili nisijichoshe na safari ndefu. Nikaamua nianze mchakato wa kubook ticket mapema 😤 nimekuta gharama yake ni zaidi ya Tsh 700k kwa Mtu Mmoja na hiyo ni kuenda tuu sio kwenda na kurudi, nikahisi pengine niushamba wangu namna ya kukata ticket online pengine sijui, nikaamua niwapigie simu ✈️ majibu yako ni kwamba bei niliyo iona ndio hiyo hiyo, zaidi ya 700k Tsh.

Miaka miwili nyuma niliwahi kufanya safari ya Mpanda to dar kwa gaharama ya Tsh 200k na chenji kidogo

Mimi nilihisi pengine naweza kusafiri kwa gharama ya Tsh 300k lakini kwa hiyo 700k sina ujanja kwa kweli. Kesho naenda kukata ticket ya bus 79k.

View attachment 3021405
Hii ni kampuni ya ccm kutumia pesa za walipakodi kuendesha shirika mufilisi..yani hiyo laki 7 ni ticket oneway ya kwenda dubai au SA...unategemea kwa akili ndogo za ccm hilo shirika linakufa mda sio mrefu
 
Mkuu mbona ukiangalia ni $ 128 kama Tsh 336,000
 

Attachments

  • Screenshot_2024-06-21-01-42-54-658_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2024-06-21-01-42-54-658_com.android.chrome.jpg
    468.6 KB · Views: 5
Kwa bei hiyo sa si bora nitembee tu kama Musa na wana wa Israel

Kama single abiria anatoa 700K inakuwaje kwenye ukaguzi wa CAG anakutana na hasara kwenye hilo shirika?
 
Back
Top Bottom