sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,208
- 2,525
Mbali sana kuitafta mpanda kutokea mbeya huo muda bora upande dar tabora kisha mpanda au moja kwa moja kutoka dar to mpandaKata ya flight hadi Mbeya!, pale chukua kibasi cha Mpanda mkuu.
DuhHata kama angefanya wiki kabla ya safari ila isiwe 700k hiyo ni pesa ya kuendea dubai karibia $300
Hata kama siku ngapi iyo gharama kubwa. Watu wanatoka london hadi majorca na Ryan air kwa 59 sterling pound tu. Lakini hawa ATCL wanachaji walala hoi 700k. Does it really make any sense?Pole sana.. Ulifanya booking siku ngapi kabla ya safari?
Wewe una hela ya bwerere. Nenda tu. Air Tanzania na precision ni bei ya juu sana. Walikomeshwa na ile Kampuni Rais Magufuli aliwafukuza. Bei kwa basi kwenda mbeya ilikuwa 45000 na ile fast jet 55,000. Air Tz na mwenzake zaidi ya 100,000. Nadhani kufidia natumizi mabovu ya ndege zetu. Mabovu kwa viongozi kusafiri bure, kutolipa nauli cash, kutojitokeza kusafiri wakati walishaweka oda ya kusafiri na kufanya ndege ipate hasara. Hapa nashauri viongozi walipe kabla wanapofanya booking. Hapa nimewahi kupanda ndege ATC uwanjani mwanza wakati walisema mpaka saa 10 ofisi za mjini kuwa ndege imejaa. Nilishauriwa na mtu niendd uwanjani, Nilikuta kuna viti vingi tu hakuna abiria mwaka 2010. Wawe macho na hili. Hata hivyo PRecision walikoma baada ya ATC KUFUFUKA maana waltuacha Mwanza na kufanya safari za Nairobi bila kujali abiria wa ndaniNilikuwa nakata ticket Leo, safari ni tar 29 mwezi huu
Hii tabia wanayo sanaWe
Wewe una hela ya bwerere. Nenda tu. Air Tanzania na precision ni bei ya juu sana. Walikomeshwa na ile Kampuni Rais Magufuli aliwafukuza. Bei kwa basi kwenda mbeya ilikuwa 45000 na ile fast jet 55,000. Air Tz na mwenzake zaidi ya 100,000. Nadhani kufidia natumizi mabovu ya ndege zetu. Mabovu kwa viongozi kusafiri bure, kutolipa nauli cash, kutojitokeza kusafiri wakati walishaweka oda ya kusafiri na kufanya ndege ipate hasara. Hapa nashauri viongozi walipe kabla wanapofanya booking. Hapa nimewahi kupanda ndege ATC uwanjani mwanza wakati walisema mpaka saa 10 ofisi za mjini kuwa ndege imejaa. Nilishauriwa na mtu niendd uwanjani, Nilikuta kuna viti vingi tu hakuna abiria mwaka 2010. Wawe macho na hili. Hata hivyo PRecision walikoma baada ya ATC KUFUFUKA maana waltuacha Mwanza na kufanya safari za Nairobi bila kujali abiria wa ndani
Bado safari ihairishwe hata kwa masaa 4 bila maelezo ya kutosha π΄π΄π .Halafu unalipa hiyo laki 7 safari nzima wanaishia kukupa kipakti cha korosho na kahawa..[emoji1]
Yani uafrika hasa utanzania ni laana..[emoji37]
Dubai penyewe juzi ameenda mtu kwa laki 8 return ticket Kenya Airways sasa hapo mpanda ndo laki 7+?Hata kama angefanya wiki kabla ya safari ila isiwe 700k hiyo ni pesa ya kuendea dubai karibia $300
Habari wakuu
Mwisho wa mwezi huu Nina safari ya kwenda MPANDA, kwakua ni safari ya zaidi ya masaa 17 nikaona bora nipande ndege ili nisijichoshe na safari ndefu. Nikaamua nianze mchakato wa kubook ticket mapema [emoji36] nimekuta gharama yake ni zaidi ya Tsh 700k kwa Mtu Mmoja na hiyo ni kuenda tuu sio kwenda na kurudi, nikahisi pengine niushamba wangu namna ya kukata ticket online pengine sijui, nikaamua niwapigie simu [emoji3575] majibu yako ni kwamba bei niliyo iona ndio hiyo hiyo, zaidi ya 700k Tsh.
Miaka miwili nyuma niliwahi kufanya safari ya Mpanda to dar kwa gaharama ya Tsh 200k na chenji kidogo
Mimi nilihisi pengine naweza kusafiri kwa gharama ya Tsh 300k lakini kwa hiyo 700k sina ujanja kwa kweli. Kesho naenda kukata ticket ya bus 79k.
View attachment 3021405
πππππ.Ndege hizo hizo wanatumia viongozi wa ccm bure bwerere!
Amelazimishwa kupanda ndege? By the way uchaguzi wa 2020 ukimpigia Kura mgombea wa chama gani?Hata kama angefanya wiki kabla ya safari ila isiwe 700k hiyo ni pesa ya kuendea dubai karibia $300
Nchii hii ina ujinga mwingi, hata magari, unanunua gari million ishirini na kodi uwe na ishirine nyingine ππ yan hii biashara hata kuzimu haiwezekaniHii biashara ya ATCL ni jipu! Gharama za kwenda huko mpanda ni sawa na Kwenda na kurudi Dubai Kwa Qatar airways