[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza ukikata ONE WAY ni gharama kuliko two way.
Pia, muda unaokata mfn imebaki siku moja au wiki moja ni gharama zaidi.
Class unayochukua pia...
Kingine flight time inachangia gharama.
Pia hiyo hela unayoona hapo bado sio yenyew ukiona imeleta 700k ujue kuna 50+k mbele..
Kodi
Siti
etc..
Ndege sio za hoehae, kama huna hela dandia SARATOGA ,SAIBABA, KIMBINYIKO etc.
Ila vile vikorosho aliyebuni ile package apewe maua yake.Halafu unalipa hiyo laki 7 safari nzima wanaishia kukupa kipakti cha korosho na kahawa..[emoji1]
Yani uafrika hasa utanzania ni laana..[emoji37]
Labda wanatafuta namna ya kulipigisha shoti ili walibinafsishe..kama kwenye projects nyingine ambazo tulismbiwa ni white elephant lakini muda huu wanazitaka!!!Bei ingekuwa nafuu wateja wangekuwa wengi
Yani wanabana kila angle...Ila vile vikorosho aliyebuni ile package apewe maua yake.
Habari wakuu
Mwisho wa mwezi huu Nina safari ya kwenda MPANDA, kwakua ni safari ya zaidi ya masaa 17 nikaona bora nipande ndege ili nisijichoshe na safari ndefu. Nikaamua nianze mchakato wa kubook ticket mapema π€ nimekuta gharama yake ni zaidi ya Tsh 700k kwa Mtu Mmoja na hiyo ni kuenda tuu sio kwenda na kurudi, nikahisi pengine niushamba wangu namna ya kukata ticket online pengine sijui, nikaamua niwapigie simu βοΈ majibu yako ni kwamba bei niliyo iona ndio hiyo hiyo, zaidi ya 700k Tsh.
Miaka miwili nyuma niliwahi kufanya safari ya Mpanda to dar kwa gaharama ya Tsh 200k na chenji kidogo
Mimi nilihisi pengine naweza kusafiri kwa gharama ya Tsh 300k lakini kwa hiyo 700k sina ujanja kwa kweli. Kesho naenda kukata ticket ya bus 79k.
View attachment 3021405
uliwahi kuonyeshwa tiketi au risiti?
Dar to Dubai ni bei gani?
Naongezea BUBELE express saa Moja usikuUsihangaike mkuu, wekata AN Bus, hii kuna bus la saa 12 alfajiri na lingine linaondoka saa 12 jioni. Uchaguzi ni wako moja kwa moja from Dar to Mpanda via Tabora, safari ya masaa 15 unakua umefika, nauli ni 79,000Tshs.
Kama ukiona aje panda Happy Nation from Dar to Mpanda via Tabora, safari ya masaa 17 unakua umefika, nauli ni 75,000Tshs.
Kwani chadema mmekatazwa?Ndege hizo hizo wanatumia viongozi wa ccm bure bwerere!
wanachokosea kila kitu wanapiga kwa dolariHabari wakuu
Mwisho wa mwezi huu Nina safari ya kwenda MPANDA, kwakua ni safari ya zaidi ya masaa 17 nikaona bora nipande ndege ili nisijichoshe na safari ndefu. Nikaamua nianze mchakato wa kubook ticket mapema π€ nimekuta gharama yake ni zaidi ya Tsh 700k kwa Mtu Mmoja na hiyo ni kuenda tuu sio kwenda na kurudi, nikahisi pengine niushamba wangu namna ya kukata ticket online pengine sijui, nikaamua niwapigie simu βοΈ majibu yako ni kwamba bei niliyo iona ndio hiyo hiyo, zaidi ya 700k Tsh.
Miaka miwili nyuma niliwahi kufanya safari ya Mpanda to dar kwa gaharama ya Tsh 200k na chenji kidogo
Mimi nilihisi pengine naweza kusafiri kwa gharama ya Tsh 300k lakini kwa hiyo 700k sina ujanja kwa kweli. Kesho naenda kukata ticket ya bus 79k.
View attachment 3021405
Kwamba na sisi tupande bure ?Kwani chadema mmekatazwa?
Bei hasa dk za mwisho ni kisangaInawezekana tickets za economy zinaisha haraka na hivyo kulazimisha kuuza tickets za Business class. Hata hivyo bado kuna dosari kwenye mfumo wa ticketing wa Air Tanzania.
Hii ni kampuni ya ccm kutumia pesa za walipakodi kuendesha shirika mufilisi..yani hiyo laki 7 ni ticket oneway ya kwenda dubai au SA...unategemea kwa akili ndogo za ccm hilo shirika linakufa mda sio mrefuHabari wakuu
Mwisho wa mwezi huu Nina safari ya kwenda MPANDA, kwakua ni safari ya zaidi ya masaa 17 nikaona bora nipande ndege ili nisijichoshe na safari ndefu. Nikaamua nianze mchakato wa kubook ticket mapema π€ nimekuta gharama yake ni zaidi ya Tsh 700k kwa Mtu Mmoja na hiyo ni kuenda tuu sio kwenda na kurudi, nikahisi pengine niushamba wangu namna ya kukata ticket online pengine sijui, nikaamua niwapigie simu βοΈ majibu yako ni kwamba bei niliyo iona ndio hiyo hiyo, zaidi ya 700k Tsh.
Miaka miwili nyuma niliwahi kufanya safari ya Mpanda to dar kwa gaharama ya Tsh 200k na chenji kidogo
Mimi nilihisi pengine naweza kusafiri kwa gharama ya Tsh 300k lakini kwa hiyo 700k sina ujanja kwa kweli. Kesho naenda kukata ticket ya bus 79k.
View attachment 3021405
Ndio,nchi si yetu soteKwamba na sisi tupande bure ?
Hapaeleweki hapoπππ Hapo kwenye kodi kununua gari ndo sielewagi.