Ghorofa laendelea kushuka, zoezi la uokoaji lasimama, mwananchi watawanywa

Ghorofa laendelea kushuka, zoezi la uokoaji lasimama, mwananchi watawanywa

Mamlaka zimesitisha kwa muda zoezi la uokoaji hapa Kariakoo kutokana na jengo kuzidi kutitia na kuongeza wasiwasi wa kuongezeka kwa maafa.

Bado inasadikika kuwa kuna idadi ya watu wengine chini ya kifusi japo baadhi wamekoma kuwasiliana na ndugu waliopo nje.

View attachment 3153856
Wenzetu yakitokea maafa km haya wakigundua kua kuna watu,hua wanachimba shimo lakuweza pitisha hata maji kwanza ili watu waweze pata huduma ya kwanza ssa hapa vijana wanatumia sururu kuwaokoa wenzao
 
Utasikia Boom mama kaagiza waendelee wasi sitishe hadi wamalize watu wote..
 

Attachments

  • downloadfile-13.jpg
    downloadfile-13.jpg
    73.3 KB · Views: 3
Back in 1987 Pale MidlandTexas mtoto mdogo Jessica alidumbukia mwenye kisima chenye urefu wafuti 22 na upana wa inch nane tu. Yule dogo alikuwa na miaka 2 tu zilitumwa rescue efforts kutoka Marekani nzima, baada ya masaaa 58 dogo wakatoa akiwa mzima na baadhi tu ya michubuko. Najiuliza sisi tunweza?.?? Uhai wa mtu mmoja tu tena mtoto unachukua attention nchi nzima. Wenzetu wameendelea sana na wametuacha mbali.

Kwenye majengo yote ya umma wamefunga seisimic Building detectors ambazo zina sense kama jengo linataka kuanguka dakika kadhaa kabla linatoa LED alart ili watu watoke. Incase of fire wamefunga smoke detectors kila nyumba, kama kuna ajali ya moto ziki detect automatically zinazozima umeme hapohapo kupunguza balaa, na hizi ni Innovation wanafanya wanafunzi wa vyuo vyao. Sisi vyuo vyetu ndio kwanza hiyo Daruso mwenyekiti wao ana push ajenda za moja ya chama cha siasa.

Kazi kweli kweli.
 
alafu kila siku tunajinasib eti tuna intelligence ya maana ,au viongozi wamaaana hiyo task force ya kodi je usalama kariakoo ndo bisiness center ya taifa na mambo yanafanyika kiholela holela hivyo jee sehemu nyingine vp tunaonyenshwa sign loopholes zetu zilipo kila siku ila tumekuwa wagumu kuelewa na kutake action my fellow tanzanians were lost na nchi yetu imeoza ......watanzania wenzetu wanalala chini yakifusi usiku wa leo ujinga wetu unatugharimu mungu tusaidie saidia na watu walioko chini ya kifusi wape tumaini
Intelligensia ya kisiasa ya uvunjifu wa amani!
 
Mamlaka zimesitisha kwa muda zoezi la uokoaji hapa Kariakoo kutokana na jengo kuzidi kutitia na kuongeza wasiwasi wa kuongezeka kwa maafa.

Bado inasadikika kuwa kuna idadi ya watu wengine chini ya kifusi japo baadhi wamekoma kuwasiliana na ndugu waliopo nje.

View attachment 3153856
Tunaomba updates ndugu maana kuna jamaa zetu huko then sie tupo mbali.
 
Wenzetu yakitokea maafa km haya wakigundua kua kuna watu,hua wanachimba shimo lakuweza pitisha hata maji kwanza ili watu waweze pata huduma ya kwanza ssa hapa vijana wanatumia sururu kuwaokoa wenzao
Wapi huko uliona janga la watu kufukiwa na kifusi linachimbwa shimo la kupitisha maji?
 
Back in 1987 Pale MidlandTexas mtoto mdogo Jessica alidumbukia mwenye kisima chenye urefu wafuti 22 na upana wa inch nane tu. Yule dogo alikuwa na miaka 2 tu zilitumwa rescue efforts kutoka Marekani nzima, baada ya masaaa 58 dogo wakatoa akiwa mzima na baadhi tu ya michubuko. Najiuliza sisi tunweza?.?? Uhai wa mtu mmoja tu tena mtoto unachukua attention nchi nzima. Wenzetu wameendelea sana na wametuacha mbali.

Kwenye majengo yote ya umma wamefunga seisimic Building detectors ambazo zina sense kama jengo linataka kuanguka dakika kadhaa kabla linatoa LED alart ili watu watoke. Incase of fire wamefunga smoke detectors kila nyumba, kama kuna ajali ya moto ziki detect automatically zinazozima umeme hapohapo kupunguza balaa, na hizi ni Innovation wanafanya wanafunzi wa vyuo vyao. Sisi vyuo vyetu ndio kwanza hiyo Daruso mwenyekiti wao ana push ajenda za moja ya chama cha siasa.

Kazi kweli kweli.
Haya ni maneno mazito mno kwa watu wenye kutafakari
 
Kinacho waangamiza waafrika sana sana ni ujinga, uzembe na umaskini.
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Back
Top Bottom