Ghorofa laendelea kushuka, zoezi la uokoaji lasimama, mwananchi watawanywa

Ghorofa laendelea kushuka, zoezi la uokoaji lasimama, mwananchi watawanywa

Kinacho waangamiza waafrika sana sana ni ujinga, uzembe na umaskini.
Tunashughulikia kuhakikisha rufaa xq wqpinzani hazifiki popote kwanza. Si wamekosea majina yao?
Hayo ya kariakoo ni kiki tu za kisiasa wala hali siyo mbaya kama wapinzani wanavyo taka kuleta taharuki kwa umma
 
Nashauri mwenyewe na mkandarasi wake wapigwe kitanzi tu hadharani itakuwa fundisho.
Hiyo sio suluhisho utanyonga wangapi sasa yaani ni sawasawa kutokee ajali ya moto katikati ya Manzese gari ya Fire ishindwe kupenya halafu unyonge watu wote waliojenga maeneo hayo wakati watu wa mipango miji hawana habari wamezubaa tu
 
Back
Top Bottom