welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
wanawajengea OSHA ofisi huku ukipita site kibao wafanyakazi hata viatu hawana tena mjini kati na wapo tu!Yasije yakabaki tupu bila wateja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanawajengea OSHA ofisi huku ukipita site kibao wafanyakazi hata viatu hawana tena mjini kati na wapo tu!Yasije yakabaki tupu bila wateja
Ni ujinga wa Viongozi wa Tanzania tu.Ni vizuri Kupendezesha mji! Ila hakuna faida yeyote ni kama la TPA floor karibia zote hazina wapangaji!
TCRA na wao ni yale yale!
Ni mradi usio na maaana kwa kuwa walipa kodi hauwasaidii kwa chochote!
Nchi inaendelea watu wake wnanaendekeleza majunguUfukara sio sifa, hatuwezi kuendelea kuishi kifukara
Dodoma hakuna biashara, jiji la Dar es Salaam ndiyo roho ya nchi ya Tanzania kimapato, bandari na eneo mkakati.
Dodoma kuwa makao ya bunge na mawizara inatosha.
Mambo mengine yote jiji kubwa kabisa la kibiashara ni Dar es Salaam na juhudi zifanyike za makusudi kabisa kuliimarisha kwa ajili sababu za kiuchumi, kibiashara na ni lango la nchi 7 ukanda huu :
JIJI LETU JIPYA LA DAR ES SALAAM ILALA
Labda sasa Kariakoo ndani ya jiji jipya itakuwa kama Dubai biashara masaa 24 , mwanga wa kutosha usiku wote lazima biashara zilizokufa Kariakoo ambazo wafanyabiashara kutoka Zimbabwe, Congo, Malawi , Zambia , Comoro n.k warudi na wasiwaze kwenda China wala Dubai kufuata mzigo.
Na machinga wote watasombwa kubwagwa Kinondoni, Ubungo, Temeke na Kigamboni.
Jiji la Dar es Salaam "mpya" litaambaa na barabara ya Nyerere kuchukua ukanda wa Tazara Stesheni DSM, viwanda vote Ukanda wa "Pugu Road " hadi Airport ya Uwanja wa Kimataifa wa JNIA. Jiji hili jipya litaamba Kurasini mivinjeni mpaka bandari zote kavu na bandari yenyewe. Maeneo ya Mjini Kati Posta, Gerezani, Mnazi Mmoja , Upanga, Magomeni hadi Ukanda wa Morogoro road Ubungo Maji mpaka Stendi Mpya Mbezi Louis.
Bila kusahau maeneo ya Oysterbay , Masaki hadi Mawasiliano 2000 stendi yatakuwa ndani ya Jiji jipya la Dar es Salaam lenye miundo-mbinu ya flyover, madaraja , BRT mwendokasi, superfast internet, bila uchafu wa meza za wamachinga, bidhaa kupangwa barabarani sehemu za wenda-kwa-miguu.
Hii itasaidia Jiji jipya la Dar es Salaam kukusanya kodi kwa kusaidiana na TRA kwa ufanisi huku miundo-mbinu ikibaki wazi na safi kwa wenye shughuli zenye TIN Number TRA na Dar es Salaam jiji jipya kuwa ULAYA ndani ya Africa.
Hawa wamachinga "wametuchelewesha" sana Dar es Salaam yenye miundombinu na magorofa makubwa kuchangia kodi, kwani biashara zimekufa na wameharibu muonekano wa jiji kisa wamechangia Tshs. 20,000 kitambulusho cha mfanyabiashara mdogo wakati wanaharibu mazingira ya biashara kubwa, biashara za kimataifa na hata watu wanakimbiza ofisi zao toka mjini kati kuzipeleka maeneo ya Victoria, Makumbusho ili kuondokana na hawa "wakuja" machinga wasioelewa maana ya jiji.
Watendaji nao wa serikali madiwani, mameya, waDC , Mkuu wa Mkoa bila kusahau viongozi wa CCM ngazi zote Dar es Salaam nao wamekuwa waoga na kukosa ubunifu kulifanya jiji kuwa Dubai au Singapore ya Afrika huku serikali imewekeza matrilioni ya fedha kuinua hadhi ya mji wa Dar es Salaam uwe wa kisasa kufuatana na uwekezaji mkubwa wa Maendeleo ya Vitu uliowekwa jijini Dsm.
Uwe na tabia ya kujenga hoja, kuna kiongozi pale TPA aliamishiwa bandari ya Tanga kisa yeye alikuwa anapinga ujenzi wa jengo lile la TPA lakini akawa anashauri fedha hizo zitumike kupanua gati na kuboresha mitambo hapo Bandarini...wakaona anataka kuwabania chakula.Hama nchi ,kenge mkubwa kabisa ,unatia aibu
Hakuna haja kwa taasisi kuhamia Dodoma? What is the logic behind Taasisi kuhamia Dodoma? Tunaongezewa nini kwa Taasisi kuhamia Dodoma?Uwe na tabia ya kujenga hoja, kuna kiongozi pale TPA aliamishiwa bandari ya Tanga kisa yeye alikuwa anapinga ujenzi wa jengo lile la TPA lakini akawa anashauri fedha hizo zitumike kupanua gati na kuboresha mitambo hapo Bandarini...wakaona anataka kuwabania chakula.
Hakuna haja ya ligorofa likubwa kujengwa hapo Dar kwa ajili ya TRA wakati akija kiongozi mwingine wa kisiasa atawakoromea then wanaamia Dodoma.
Kuna maghorofa wameyaacha yanakua magofu ilhali watanzania wangeweza kupanga na yaingize kodi. Wangeweka rates za kawaida, sasa hayo majengo ya TPA kodi yake haigusiki.Ni vizuri Kupendezesha mji! Ila hakuna faida yeyote ni kama la TPA floor karibia zote hazina wapangaji!
TCRA na wao ni yale yale!
Ni mradi usio na maaana kwa kuwa walipa kodi hauwasaidii kwa chochote!
Kuna umuhimu gani wa kila Taasisi kuhamia Dodoma? Tunaongezewa nini?Wao TRA wamegoma kuamia Dodoma?
Kuna umuhimu gani wa kila Taasisi kuhamia Dodoma? Tunaongezewa nini?
Msanifu wa majengo Arch. Yassin Mringo kutoka kampuni ya Y&P Architect aeleza kwa undani kuhusu jengo tarajiwa.
Kampuni ya Y&P Architects (T) Ltd ni ya kitanzania na inaongozwa wa wakurugenzi wawili watanzania.
Muonekano wa jiji la Dar es Salaam unazidi kuwa wa kisasa katika ukanda huu wa Afrika ya Mashariki na barani Afrika kwa ujumla.
Uwezo wake katika wilaya ya Ilala jirani na bandari utasaidia kuwa kituo cha huduma chini ya paa moja One Stop Centre kutoa huduma kwa wateja wa ndani na nje ya nchi kutokana na Dar es Salaam kuwa eneo la kimkakati (geostrategic position) ukanda huu wa Afrika ililoona hata na wafanyabishara wa karne iliyopita chini ya Sultan wa Zanzibar, utawala wa kikoloni wa Ujerumani, utawala wa kikoloni na Waingereza na utawala wa nchi huru ya Tanzania.
Muonekano wa jiji letu Dar es Salaam City 2023
Mkuu kama sikosei kuna mtu/watu alituhumiwa juu ya ujenzi wa hiyo BOTInapokuja kwenye magorofa, 'I am for them' hata nikiwa natambua kule kijijini kuna watu wanakunywa tope.
Dar es Salaam inapendeza sana na hayo ma-minara yaliyopo. Ila yule aliye chora yale ya Benki Kubwa, anastahili kunyongwa hadi kufa.
Eneo lile zuri kabisa kaliwekea uchafu usiofaa kuwa hapo.
Vipi Mkuu - hautuamini Watanzania?Mkandarasi mwenyewe mzawa au ni dalali tu wa wachina?
Mkuu, nadhani wangejenga kiwanda ama viwanda vya nguo, ili tuachane na hii MITUMBA iliyozagaa mitaani na kuchafua mandari za jiji letu na hivyo kutoa ajira zenye ujira wa uhakika.Huo mradi waachane nao. Ni kuchezea hela. Hayo mabilioni. Sio bora wangenunua hata mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi asilia hata Megawatt 100 au Megawatt 200(toka Japan, Korea au Siemens),
Au wangewekeza kwenye usambazaji wa maji.
Au wangewekeza kwenye kununua kupima viwanja na kupanga miji ili watu wapate hati na kumaliza migogoro ya ardhi.
Kwanza maghorofa mengi yapo Tupu. Serikali si imehamia Dodoma?
Uwezo mdogo wa kufikiria ndio chanzo za matatizo.
Hasara kubwa sanaNi vizuri Kupendezesha mji! Ila hakuna faida yeyote ni kama la TPA floor karibia zote hazina wapangaji!
TCRA na wao ni yale yale!
Ni mradi usio na maaana kwa kuwa walipa kodi hauwasaidii kwa chochote!