Ghorofa refu Tanzania litakuwa hili la TRA DSM, nembo ya jiji

Ni vizuri Kupendezesha mji! Ila hakuna faida yeyote ni kama la TPA floor karibia zote hazina wapangaji!
TCRA na wao ni yale yale!
Ni mradi usio na maaana kwa kuwa walipa kodi hauwasaidii kwa chochote!
Ni ujinga wa Viongozi wa Tanzania tu.

Majengo mengi Dar es Salaam wameyaacha hayana kazi wakati yapo vizuri alafu wanatumia mapesa mengi kujenga Dodoma bila kutumia akili kabisa.

Kiuhalisia Dodoma ilitakiwa iwe sehemu ya Wizara tu. Taasisi nyingine zingebaki tu Dar es Salaam.
 
Kwa maana hiyo, tuamishe vizara ya kilimo tuopeleke nyanda za juu kusini?
Kwani hizo taasisi zilizoamishia makao makuu yao Dodoma ndipo kunakopatikana wateja wao wakuu?
 
Mkandarasi mwenyewe mzawa au ni dalali tu wa wachina?
 
Hama nchi ,kenge mkubwa kabisa ,unatia aibu
Uwe na tabia ya kujenga hoja, kuna kiongozi pale TPA aliamishiwa bandari ya Tanga kisa yeye alikuwa anapinga ujenzi wa jengo lile la TPA lakini akawa anashauri fedha hizo zitumike kupanua gati na kuboresha mitambo hapo Bandarini...wakaona anataka kuwabania chakula.
Hakuna haja ya ligorofa likubwa kujengwa hapo Dar kwa ajili ya TRA wakati akija kiongozi mwingine wa kisiasa atawakoromea then wanaamia Dodoma.
 
Hakuna haja kwa taasisi kuhamia Dodoma? What is the logic behind Taasisi kuhamia Dodoma? Tunaongezewa nini kwa Taasisi kuhamia Dodoma?

Kuna shida gani Mawaziri na Wizara tu ndo wakawa Dodoma?
 
Ni vizuri Kupendezesha mji! Ila hakuna faida yeyote ni kama la TPA floor karibia zote hazina wapangaji!
TCRA na wao ni yale yale!
Ni mradi usio na maaana kwa kuwa walipa kodi hauwasaidii kwa chochote!
Kuna maghorofa wameyaacha yanakua magofu ilhali watanzania wangeweza kupanga na yaingize kodi. Wangeweka rates za kawaida, sasa hayo majengo ya TPA kodi yake haigusiki.

Hebu angalia jengo lililokua la ofisi za wizara ya katiba na sheria Dar, linapauka tu.
Dkt. Gwajima D liangalie hili, wapeni hata NHC walipangishe. Vijana tutaweza kupata ofisi humo tukachangia kodi serikali.
 
Kuna umuhimu gani wa kila Taasisi kuhamia Dodoma? Tunaongezewa nini?

Kweli kabisa. Inatakiwa kuhojiwa mantiki ya kiongozi kuhodhi madaraka kupitia dhana kuwa kila kitu kihamie Dodoma, viongozi wa CCM wadhibitiwe uroho wao kuwa na power kama miungu-watu.

Mfano :
Utasikia Bodi ya Korosho Tanzania nayo ina hamishiwa Dodoma toka Mtwara, makao makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania THA inahama toka DSM kwenda Dodoma n.k n.k

Mji wa Arusha uwe makao makuu ya mhimili wa Mahakama Kuu ili jaji mkuu na mahakama ya rufani wabaki huko mbali siyo kila siku wanahudhuria hafla za wafanyakazi wa serikali kuu na mikoa wakiapishwa na kwa namna hii ya mgawanyo wa mihimili, Mahakama iwe huru toka minyororo na jinamizi lililoundwa ktk awamu ya tano. Arusha ni makao ya korti ya Afrika Arusha | Search Results | African Court on Human and Peoples' Rights , EACJ www.eacj.org , UN Korti za masuala ya maovu dhidi ya binadamu International Residual Mechanism for Criminal Tribunals May Conclude Most Cases by May 2021, Its President Tells Security Council | Meetings Coverage and Press Releases hivyo Mahakama Kuu ya Tanzania na Jaji Mkuu wa Tanzania Judiciary of Tanzania | Home watakuwa wanabadilisha mawazo na wasomi wenziwe kuhusu namna bora ya Mahakama za Tanzania kujiendesha kwa uhuru na kumaliza mrundikano wa kesi kwa kuwa kila siku wanahudhuria hafla zote za mhimili wa serikali .

The Many Capitals of South Africa
South Africa's three capital cities are strategically placed throughout the country, each hosting a separate segment of the nation's government. When asked about a single capital, most people would point to Pretoria.
  • Pretoria is the administrative capital. It is home to the executive branch of the South African government, including the President of the Cabinet. The city also hosts many departments of government and foreign embassies.
  • Located in the province of Gauteng, Pretoria is in the northeast part of South Africa and near the city of Johannesburg.
  • Cape Town is the legislative capital. It is home to the country's legislative parliament, including the National Assembly and National Council of Provinces.
  • Located in the southwest corner of South Africa in the province of Western Cape, Cape Town is the second-largest city in population.
  • Bloemfontein is considered the judicial capital. It is home to the Supreme Court of Appeal, the second-highest court in South Africa. The Constitutional Court (the highest court) is located in Johannesburg.
  • Located in the province of Free State, Bloemfontein is in the center of South Africa.
 
Serikali ni sikio la kufa bado wanaednele kuwekeaza dar .badala ya dodoma
 
Hizo fedha.zikatumike kuboresha hospitali za mikoa na wilaya nyingi ni chafu sana hazina madawa wala.vifaa.
 
Mkuu kama sikosei kuna mtu/watu alituhumiwa juu ya ujenzi wa hiyo BOT
Mkandarasi mwenyewe mzawa au ni dalali tu wa wachina?
Vipi Mkuu - hautuamini Watanzania?
 
Mkuu, nadhani wangejenga kiwanda ama viwanda vya nguo, ili tuachane na hii MITUMBA iliyozagaa mitaani na kuchafua mandari za jiji letu na hivyo kutoa ajira zenye ujira wa uhakika.
 
UGUMU WA MAISHA..MBILINGE ZA UKUSANYAJI KODI -MATUMIZI MAZURI YA MAKUSANYO
 
Ni vizuri Kupendezesha mji! Ila hakuna faida yeyote ni kama la TPA floor karibia zote hazina wapangaji!
TCRA na wao ni yale yale!
Ni mradi usio na maaana kwa kuwa walipa kodi hauwasaidii kwa chochote!
Hasara kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…