Ghorofa refu Tanzania litakuwa hili la TRA DSM, nembo ya jiji

Nashindwa kuuelewa huu uzi, kwan mpaka 2023 hilo jengo lilikuwa bado halijajengwa?
 
Haya majengo yapo tangu 2014-2016 halafu unaleta uzi mwaka 2023 kana kwamba ndio jengo limejengwa kuna akili kweli au ulitaka kumpamba nani hasa mpaka mwaka huu Juni 2024?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…