Giggy Money aja na SUPU

kwa hiyo gigy money ni shoga ? Mbona unatapatapa ,unamsema vibaya mtoto wa mwenzio wakati avatar yako inaonyesha huna tofauti naye Hongera nyie ukoo wenu mmezaliwa watakatifu nyie ndio wale wana israel 144000 mtakao irithi mbingu ? Halafu sikua namtetea Gigy kwa anayoyafanya ila hoja yangu ilianzia pale uliposema huna undugu na watanzania wauza naniliu
 
soma vyema
 
siku hz mziki na uchi ni complementary goods kama vile gari na petroli
 
kwa kweli huyu dada analizalilisha kabila mama angu, hv nan anaempa sifa za kwamba ana mapaja mazuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…