Giggy Money Kawaumbua Mastaa uchwara, sikutegemea kama anakaa Uswahilini

Giggy Money Kawaumbua Mastaa uchwara, sikutegemea kama anakaa Uswahilini

Aisee!

Wigi la milioni 6, nyumba ya elfu 20 chumba.

Wasanii wetu wana maisha magumu sana. Na sasa Magufuli na Makonda wamewavuruga kwenye madawa ya kulevya, hawana ham.

Hawana kitu kinachowaingizia pesa muda wote, madawa ya kulevya hayalipi sasa, umalaya ndio pekee unaolipa kwa sasa ingawa wateja pia wamepungua.

Nimemuonea huruma, hayo maisha ni maisha ya kiswahili kabisa. Lakini pia huyu binti anaonyesha kabisa hana malezi mazuri, severe lack of basic hom training.
 
Yote tisa ila kumdhalilisha uyo mama kazingua nanyiny eatv muwage mnaficha hata sura basi
 
Duuh hawa wasanii ni shidaa huyu gygy kwanz ziwa limelala kama socks yaan swaga na misifa yote alionayo kumbe choka mbayaa daah aisee mi kumbe tajir sna naishi sehem ya juu mnoo kuliko hawa wapenda kiki
 
Kumbe alifanikiwa kuhama kule kigogo sambusa,hizi laana jaman naona ule ugonjwa umempanda kichwani.Kalio lote limemomonyoka pasipo kutarajia.Mungu mkali Gift atakulipa matusi unayotukana wakubwa zako.
 
Screenshot_2016-04-01-10-27-36-1.png
 
Back
Top Bottom