madam boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 701
- 742
Wanaishi maisha ya kuigiza kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahhaa...mi nilidhani kativii kangu ka Chogo kanazingua kumbe hata wenye ma flat screen mliona hivo hivo...kuna siku shilawadu walivamia kwa navikenzo ,nilistuka rangi ya mwonekano wa aika kama ndizi choma..
Uyo Mama kwa sura anafanana na Giggy Money nilijua ni Mamake
Anyways all in all uyo binti kakosea sana nadhani upeo wake ni mdogo then malezi nayo yanachangia;anaongea as if uyo anaeongea nae wanalingana;mbaya zaidi Mama ni mjumbe ie kiongozi wake wa mtaa anaoishi daah hawa wasanii wetu bhana sometimes miyeyusho sana!
hahaha yaniii kwa jinsi nilivyokuwaga nampenda sikutegemea kama na yeye anajikwanguaga ngozi.Hahahahahhaa...mi nilidhani kativii kangu ka Chogo kanazingua kumbe hata wenye ma flat screen mliona hivo hivo...
Hahahaha kwakwelNampenda giggy kwasababu anajifanya matawi ili kuwakera pia mumuongelee lengo lake la kuwa maarufu litimie.
Anajijua yeye ni malaya na hajali, kazi kwenu kuumiza vichwa kwaajili yake. Hana tofauti na hamorapa!
Nimewaza kama wewe atiHiyo kiki hivi ugombane na mwenye nyumba Mara hapohapo media imefika maigizo haya
Eatv baada ya kupata taarifa walimfuata mjumbe, baada ya maelezo ya mjumbe kutaja chanzo cha ugomvi kuwa ni miti ambayo ilikuwa ikikatwa.... Ikabid waandishi wamuombe mama awapeleke kwenye hilo eneo ilikokuwa iki pruniwa miti, baada ya kufika hilo eneo linalopakana na alipo gigy money, wenzake baada ya kuona kamera na mjumbe akielezea wakaanza kuwaka kuwa mjumbe kawaleta waandishi ili kuchafua jina lake... Ndivyo nilivyoelewa mmHiyo kiki hivi ugombane na mwenye nyumba Mara hapohapo media imefika maigizo haya
[emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] aiseeeee!kuna siku shilawadu walivamia kwa navikenzo ,nilistuka rangi ya mwonekano wa aika kama ndizi choma..