Giggy Money Kawaumbua Mastaa uchwara, sikutegemea kama anakaa Uswahilini

Giggy Money Kawaumbua Mastaa uchwara, sikutegemea kama anakaa Uswahilini

Nampenda giggy kwasababu anajifanya matawi ili kuwakera pia mumuongelee lengo lake la kuwa maarufu litimie.
Anajijua yeye ni malaya na hajali, kazi kwenu kuumiza vichwa kwaajili yake. Hana tofauti na hamorapa!
 
Uyo Mama kwa sura anafanana na Giggy Money nilijua ni Mamake
Anyways all in all uyo binti kakosea sana nadhani upeo wake ni mdogo then malezi nayo yanachangia;anaongea as if uyo anaeongea nae wanalingana;mbaya zaidi Mama ni mjumbe ie kiongozi wake wa mtaa anaoishi daah hawa wasanii wetu bhana sometimes miyeyusho sana!


Huyo mjumbe alinifurahisha alimnasa kibao............... sikuamini Gigy anaishi nyumba km hiyo kweli mswazi ni mswazi tuu mimi nina qualification zangu aisee chaa.............................. na afya yake ina drop sana yaelekea madawa yameshika kasi aisee na pombe
 
Nchi kama hakuna sheria, itashangaza kama hawatachukuliwa hatua kwa walichofanya.
 
Wanaume wa dar bhana, ingekuwa kwetu Mara yaani angepigika na kusingekalika.

Huwezi kumjibu mama hivyo hata angekuwa hana vijana hao mabinti wangejuta kuzaliwa
 
Maisha ya kutafuta umaarufu na huna kitu ni mabaya saana,sasa aibu nyumba anayokaa ndio hiyo tena unaweza kuta na kodi wanachanga watu watatu ndio walipe,Pia makalio mbona hayapo tena kuna nini?au yamekwenda na mafuriko?
 
Nampenda giggy kwasababu anajifanya matawi ili kuwakera pia mumuongelee lengo lake la kuwa maarufu litimie.
Anajijua yeye ni malaya na hajali, kazi kwenu kuumiza vichwa kwaajili yake. Hana tofauti na hamorapa!
Hahahaha kwakwel
 
Hiyo kiki hivi ugombane na mwenye nyumba Mara hapohapo media imefika maigizo haya
Eatv baada ya kupata taarifa walimfuata mjumbe, baada ya maelezo ya mjumbe kutaja chanzo cha ugomvi kuwa ni miti ambayo ilikuwa ikikatwa.... Ikabid waandishi wamuombe mama awapeleke kwenye hilo eneo ilikokuwa iki pruniwa miti, baada ya kufika hilo eneo linalopakana na alipo gigy money, wenzake baada ya kuona kamera na mjumbe akielezea wakaanza kuwaka kuwa mjumbe kawaleta waandishi ili kuchafua jina lake... Ndivyo nilivyoelewa mm
 
Back
Top Bottom