Giggy Money: Lazima nifanye mapenzi na mtoto wa Zari

Giggy Money: Lazima nifanye mapenzi na mtoto wa Zari

Hivi hawa wasanii wanajielewa kweli? Sasa kauli kama hizi hawezi kuona zinaweza kumgarimu baadae, sijui wanakulaga maarage yaliochacha
 
Hivi Gigy hajui kwamba huyo kijana anayemuongelea mitandaoni bado nio mtoto, hajafikia miaka 18. Agombane na Zee, lakini amuache kijana.
 
Halafu bwana anaye nyumbani? Kiazi sana demu anaona uchi ndio maisha...Hizi ndizo akili za wauza Uchi wa Dsm
 
Mwanamke anapokosa elimu ya darasan..akakosa elimu ya dini.......

BASI HUTUMIA UCHI WAKE KWA MANUFAA BINAFSI. HAO NDO AINA YA WANAWAKE,WATOAO UCHI SABABU TU WAMKOMESHE MAMA MWENYR NYUMBA haahahahahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Tuna kazi kubwa sana km Taifa.
 
Mitandao ya kijamii(Social Media) imeonyesha utupu wa watu wengi sana, na wasanii wengi wamekuwa ni vielelezo vya hayo, wengi wanafahamika si kwa kazi zao za sanaa bali drama zao zilizojaa ujinga mwingi.
 
Baadae atakuja kuwa Dc.
Kuna haja gani ya vijana kusoma?
Mfumo wetu umepoteana mno.
 
Yule mtoto wazari nimshiriki wa ngono moja(gay), sasa ajiandae kuliwa jicho kwanza
 
Yule mtoto wazari nimshiriki wa ngono moja(gay), sasa ajiandae kuliwa jicho kwanza
 
Msanii wa muziki Bongo, Gigy Money amefunguka na kudai kuwa ana mpango wa kuzaa na mtoto wa kwanza wa Zari The Bosslady.

Muimbaji huyo akipiga stori na SnS Tanzania (Simulizi na Sauti) amesema atafanya hivyo ili Zari aweze kumuheshimu kama mkwe wake.

"Sasa Zari, mimi ninachokuaidi kitu kimoja, lazima nizae na mtoto wako wa kwanza halafu wewe utakuwa bibi wa mwanangu ndio utaniheshimu. Atakuwa mama Mkwe wangu na hatoamini, mimi nitapita na mwanae wa kwanza na nitazaa naye," amesema Gigy Money.

Kauli ya muimbaji huyo inakuja ikiwa ni muendelezo wa beef kati ya warembo hawa, Gigy na Zari
Kama Gigy Money ni "mrembo", basi inabidi nikaanze upya darasa la Kiswahili. Tena fasta!!
 
Angesema lazma amuunganishe kwenye grid ili zari amuheshimu ningemsifu ana akili,maana lengo ni kukomoa
 
Back
Top Bottom