Gigy Money afanya balaa Mwanza Car Wash Party

Gigy Money afanya balaa Mwanza Car Wash Party

Sio lazima tufuate maadili ya waarabu, sisi ni waafrika tuna maisha na taratibu zetu. Anyway, hukatazwi kuhamia Afghanistan.
Haya hizo ndo taratibu za afrika, hivi wewe unazijua taratibu za afrika na unazifuata
 
gigy money bado anaendeleza uchizi wake ndani ya mwanza car wash party baada ya kutoa wimbo wake unaoitwa "nampa papa". Shughuli anazofanya gigy kama msanii Basata itabidi walivalie njuga.

Hii gari itabidi ikaoshwe na maji ya upako aisee, maana ishatiliwa nuksi
 
Ila Gigi anachofanyag anajidhalisha sana ila ndo ukiki wenyew ata kwa pikipiki,...Leo nimeona kasema ata uvunguni diamond akiomba anapewa aseeh!?
 
Anaosha gari au anachafua? Mi nafikiri hiyo gari ikitoka hapo ndio ikaoshwe.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mkuu....
Umenifanya niwaze vile ninavyo chafuliwaga baada ya game, alafu ndipo naenda kuosha mkuyenge...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Huyu gig mi nashangaa wanaomshobo. Mbna ni shangingi flani wa kawaida sana tu
 
Acha kukurupuka kama unagegedwa wewe nimeongea vitu vya waz kbsa au na wewe wanakupapachua
 
Back
Top Bottom