Gigy Money afanya balaa Mwanza Car Wash Party

Gigy Money afanya balaa Mwanza Car Wash Party

Ametukana unaweza zani yeye amechongwa na selemara dah

Basata wanamfungia ney tu
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mkuu....
Umenifanya niwaze vile ninavyo chafuliwaga baada ya game, alafu ndipo naenda kuosha mkuyenge...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Loooh!!!
 
Kuna wath wanatamani wageuke hilo gari......liwe na dushe ofcourse
 
So kuabudu, in short waarabu wako vizuri kwenye jambo la maadili kuzidi sisi wakurupukaji
Maadili ya kuchinja wenzao kwa cheni Saw? maadili ya kufi.....na kisa unatunza bikira? maadili ya kujifunga mabomu na kujilipua kwenye umma? maadili ya kuwatesa na kuwadharirisha wadada wa kiafrika wanaoenda kufanya kazi za ndani huko.kwao? C'mon Son grow up!
 
Maadili ya kuchinja wenzao kwa cheni Saw? maadili ya kufi.....na kisa unatunza bikira? maadili ya kujifunga mabomu na kujilipua kwenye umma? maadili ya kuwatesa na kuwadharirisha wadada wa kiafrika wanaoenda kufanya kazi za ndani huko.kwao? C'mon Son grow up!
Una uhakika kuwa waarabu halisi ndo wanafanya hivo au unabwabwaja tu
 
Ugali hautafutwi kwa njia kharam kama ya kuanika usiri kwenye kadamnasi
Sa si bora huyu anaejianika kuliko yule kipenzi chenu Anayepigwa mzigo kama kuku 'mgumba' au yule bibi bomba anaezaa hovyo hovyo bila ndoa halali na still mnamuona Ndo rol modo wenu.....Acheni dabo standadi km kukemea kemeeni kwa wote.
 
piga kazi Gigy,

umaarufu kama huu hau last,

do everything,NOW,lol
 
ndio huyu wa msomi Al Msando?
 
Umri wangu umeenda, sisi wazee wa kijijini ujanani kushika jembe Mikonombele,tumezeeka sasa mwendo wangu unasadifu jina langu, sasa hivi natoka kilabuni naenda kwenye kakibanda kangu kujisitiri
 
Yaani mtoto angeumbika kama Agnes masogange,sijui ingekuwaje hivi vitako vyake vya kufungia khanga ana balaa hivyo.Mungu nusuru hiki kizazi chetu.
 
Back
Top Bottom