Gigy money aitosa mahali ya milion 5 anataka 10-15

huyo labda wamnunue wazungu wapelekee mbwa wao..
 
Milioni 10-15 ana nini cha ziada ambacho wanawake wengine hawana...Kazi kwelikweli wanawake wa digitali!!
Labda hatujamuelewa Giggy Money, "kuoa" au "mahari" yaweza kuwa tungo tata, lada hamaanishi kuolewa kama tujuavyo, mahari yawezekana kwake ni dau, kuolewa kwake ni mambo ya kimwili!
Kiswahili kigumu aise...
 
Kadai thaman yake ni kubwa sana maana kuna jemba ashawah kwenda na milion saba akamutosa

Thamani yake kubwa kivipi? She doesn't understand. Wenye thamani kubwa hawataki hata senti moja. Isije kuwa kero mbele ya safari.
Unatoa mahari milion 15 halafu baada ya miezi sita ngoma chali

 
Huyo jamaa namfahamu ni prodyuza wa picha za ngono alitaka kumfanyia biashara
 
Ana bikra????
 
Kwa ndoa hapana, labda nitoe kama muwekezaji ambaye nitajilipa kwa kukusanya hela za wateja wake wa PAP*. Efd itabidi ihusike
 
Nani aharibu ela zake kwa putas kama huyo?? Huyo mwanaume alietayari Nina mshauri akapande tu hizo ela zitaota kuliko kutoa zote hizo kisa gigy
 
Ajabu la nane la dunia hili........
Et mil 5 thubutuuu gigy ata kwa sent 2 sioi msiiiiiew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…