Gigy money aitosa mahali ya milion 5 anataka 10-15

Kwanza huyo mwanaume anayetaka kulipa hiyo mahari inabidi apimwe mkojo kwanza,
Isikute anatafuta punda wake wa kubeba mizigo.
 
Kwa ndoa hapana, labda nitoe kama muwekezaji ambaye nitajilipa kwa kukusanya hela za wateja wake wa PAP*. Efd itabidi ihusike
Aiseee mkuu acha utan
 
sasa kama mwanaume alienda na 7m akazikataa leo mwingine ameenda 5m bado anakataa!!

Anataka zifike 620,000tsh ndo naolewe!!!!
Hahahahaha naona had itafika elf thelathin
 
Labda hatujamuelewa Giggy Money, "kuoa" au "mahari" yaweza kuwa tungo tata, lada hamaanishi kuolewa kama tujuavyo, mahari yawezekana kwake ni dau, kuolewa kwake ni mambo ya kimwili!
Kiswahili kigumu aise...
Pamoja na hayo bado anazingua...Ndio yaleyale ya Sanchoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…