trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 744
Dah,Dom kweli ni shida. Waheshimiwa wengine wanapiga mitungi hadi wanapigana kavukavu klabu..Mnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
Yeah niliweka uzi hapa kuhusu ulimbukeni wa lawyer kupagawa na hela za ghafla na umaarufu maviMi nilipoanza kuona lawyer anashinda insta kupost private life na mengine ya familia yake, nikajua nii swala la muda tu kabla ya kuchafuka.
Naona hapo unampiga mkwara Ze BoldNa hili ndilo kuu...status ya Msando sio wa kufanya uchafu ule tena na mshenzi Gigy!
Pole kwa mke wake,ningekuwa mimi huu ungekuwa mwisho wetu.
Msomi mkubwa hivyo anajihus na spenzi Na Gigy?; mtoto mapepe hadi mavazi yanamtangaza. Decent girls wameishaKwenye sector hiyo hakuna shekhe wala mchungaji
Sembuse huyo mshauri wa chama cha siasa
Sasa unataka kusema nn? Mbona hueleweki wewe msandoHaohao wavujiahaji wakianza kusema mambo yakweli kuhusu wanawake walioolewa wanavyochepuka,mnaanza kusema ni wambea au wanataka kuvunja ndoa,wakati aliyevujisha ni mmbea wa kielectoniki na anayesambaza maovu kwa njia yakusema tu naye ni mnbea wa ki-analojia.
Yaani hata vioo Mimi navunja ili akili ikukae sawa
Naenda kununua jingineYaani hata vioo Mimi navunja ili akili ikukae sawa
Kwani matumizi ya kodi ni nini kama si kuzitumia? Mbona bashite anatumia pesa zako za kodi na Zero lake kichwani lakini haikuumi, chuo bila raha mambo hayaendi jirani, sasa hivi tunazilipaNdicho tulichokutuma Udom ukatumie kodi zetu
Nyaga ana watoto.. Hizo ni hadithi na uzushiShoga unawajua haswaaaaa. Huyo Jack nae mjinga sana.
Ni bora niolewe na mwanaume masikini ila mstaarab na sio mpuuzi kama huyo Albert.
Nimecheka kusema mazuri. Eti bampa to bampa. Picha za Nsia hazina ubaya wowote... Siku hizi picha kama hizo zimezagaa mitandaoni. Tena wengine ni watu ambao si malaya na wanapiga picha half naked ( eg. Beyonce). Alijipiga picha kufuraia kazi ya Muumba. Hakuwa anapimwa oil. Kama mkewe aliolewa ki ushindani lazima akomae na hiyo ndoa kwa wasiwasi wa kuchekwa. Nina rafiki yangu anakaribia kufa ndoani maana aliolewa na player na kila mtu alimtahadharisha. Leo anaogopa hata ku share stress zake na hata ndugu akihofia zile za 'tulikukanya hukutaka kutusikia'No.. Nsia alikuwa mchumba wa Albaert na walikuwa wanawania ndoa wote yeye na Jack, wakawa maadui ila msando akachomoa kwa Nsia kimyakimya baada ya picha za nsia kuvuja, sasa picha zake ndio zinavuja bampa to bampa.
Mwenzangu si umeona na ubuyu hapo juu kumbe hadi wanaume wenzie?
Nimeanza kufikiria mbali ule ukaribu alionao na akina Wema, Lulu n.k [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Hilo nalo Neno! Ngoja nije pm tukunane kistaarabuwakunane kistaarabu basi...sio hadharani kama hivyo
hahaHilo nalo Neno! Ngoja nije pm tukunane kistaarabu
Privacy kwani una uhakika source ya leak ni yeye.? He did the stuffs in private(car), na i am sure someone else leaked the stuffs in public na sitoshangaa mtu huyo akiwa ni mwanamke (coz mnajijua wenyewe akili zenu). So hii ni ajali kama ajali nyingine, there is no big issue kwa hili na Msando hapaswi kulaumiwa kiviiile.
Swali kidogo: Kwa hiyo kwako angefanya hayo katika privacy ingekuwa sahihi yeye kufanya hivyo.?
Pesa tamu lakini sio hii. Kuna raha gani kama hapo mke wa Msando kila aendapo watu hawatomtazama kwa heshima, na hiyo yote ni sababu ya kuwa na mume mzinzi!
Heshima ni kitu bora zaidi ktk jamii.
Umwana uju ju kapyunguKapyungu = muongeaji sana, in short mmbea, mama alikuwa anatutania sana tukimsemelea
wala sitikisi kwan huyo aliye nae hajui kwamba kabla yake huyu alikuwa na boyfriend?Hapa.unatikisa ndoa ya mtu mwanawani... Mmmmh... Labda jina liwe la uongo