Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Mimi naweza kua ni mzigo kwa mama yangu lakini huyu ni hasara tupu si kwa mama yake tu Bali kwa Taifa zimaa, ifike sehemu serikali ifungie watangazaji kama hawa
 
Giggy ni babeli Yule kahaba mkuu na kikombe chake wameshakinywea watu wengi maarufu na wenye pesa,,,, tamaa inatuponza kwakweli
 
So huyo gigy ni matope
Ms Lincolin Mpe hai Mr. Abraham Lincolin mwambie mkulu kasahau kabisa 'Government of the people by the people for the people'

KwA mlioona video mtusimulie yaliyomo wengine hatujaiona tunasikiasikia tu
 

Wacha bwana.kwa hiyo akifanya trump na zari inahalalishwa.jamaa unaufahamu sana
 
Me naona hayupo serious maana bado anaweka hashtag ambazo anaonekana kabisa anafanya mzaha
 
We ndio Tina. Calm down
 
Kama Mungu yupo na moto upo basi huyu gigi mane ni wakala wa shetani na hana hadhi ya kuitwa mtu bali shetani, nyambaf....

Disgusting hore
 
Judgmental society.

Giggy anaishi maisha yake, mbona mnamtukana sana?

Nyie ndo watakatifu?
 
Kiukweli huyu mdd hua simuelewagi kbs yanikila raia yeye hamtambui.?
Halafu na hawa wanaume zetu jamani sijui nini shida Albert na gigy wapi na wapi.? Dah pole sn msando na familia yake
Wapi na wapi? Wanaume unawajua unawasikia?

Ukiona mko na Jamaa yako, mkaangalia picha ya gigy na mitego yake alafu akasema, hili lidada nalichukia...kaa ukijua moyoni kwani ni opposite kabisa.
 
Wapi na wapi? Wanaume unawajua unawasikia?

Ukiona mko na Jamaa yako, mkaangalia picha ya gigy na mitego yake alafu akasema, hili lidada nalichukia...kaa ukijua moyoni kwani ni opposite kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka kwa nguvu wallah Alhamndulillah[emoji4]hy wanaume kazi kwenu jipigieni tuu mana hakuna namna
 
Eeeh, tamaa mbaya, mkewe ni chombo safi, tena amekamilika. Mama Msando, wewe ni chombo hasa, naomba umsamehe tu mumeo usimhesabie makosa, shetani alimpitia.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…