Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
f8f40fc6305f49b96fd75762dbc5302e.jpg


Mama msando mwenyewe huyu hapa
Maskini kumbe mke wake ni mrembo hivi daah jamaa kazingua kinyama kwa lile kahaba[emoji57][emoji57]
 
Cjui angekuwa wakili wa CCM au CDM , ni maneno gani yangekuwa yashaandikwa humu.. Nawaza kwa sauti.
 
Mwenzangu si umeona na ubuyu hapo juu kumbe hadi wanaume wenzie?
Nimeanza kufikiria mbali ule ukaribu alionao na akina Wema, Lulu n.k [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Huyo atakua yeye ndio alikua anapumuliwa na nyaga istoshe albert ni albert
 
Namjua msando personally yaani kwa ukaribu kabisa..kifupi ni binadamu mwenye udhaifu sana linapokuja suala la wanawake..kiasi kwamba huwa namshangaa na umri wake umetembea sijui anatufundisha nini sisi wadogo wake ...

Sasa kama wewe ni mdogo wake, huo udhaifu wake kwa wanawake umeujulia wapi? Je, wewe ni mwanamke au huwa unaenda naye kutafuta wanawake? Ni nani ambaye si dhaifu kwa wanawake? What I know is that a lot of guys (if not all of them) do the same or envy his kind of life. Wanaoandika hapa kumlaumu, wengi wao hawataki kuwa realistic. They are pretending.
 
Gigy...

Ina maana simu yako hauweki password.?
Kama uliweka ulimtolea password ya nini.?
Utasema ulimtolea password sababu ulilewa,kama aliyelewa hana kosa,mbona unamchukia sasa wakati na yeye alilewa.!?

Na unasema una video yake ulimrekodi akiwa amezima.!
Hapohapo unasema ulikuwa hujitambui hukujua hata simu yako inavyotumika..

Pathetic..
 
Kwenye sector hiyo hakuna shekhe wala mchungaji

Sembuse huyo mshauri wa chama cha siasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu naona cheko mpaka machozi
 
Kiukweli sijui ana hali gani.Maana zile show off za insta za kumsifia na hii video ndo maumivu kabisa.swali anafanya haya na wangapi? [emoji24] [emoji24] naanza kuamini Ile ya Kipindi kile na Lulu ilikuwa kweli...Tunajua wanaume wanacheat ila kinachoumiza ni kujua anacheat na flani tena si kujua tu yani nchi nzima imejua anacheat na nani tena kwa ushahidi[emoji17] [emoji17]
Always men's have their ways.
Msando alishindwa kufanya siri mpaka akaruhusu kurekodiwa.
hivi wapi alionekana akila tunda?yule kapapasa tu hiyo inaruhusiwa hata na mtume
 
Hata kama ni staa kiasi gani, Umalaya unafedhehesha na kushusha heshima. I person worth of being a lawyer, also known as an officer to the judiciary, ameikosea sana tasnia yake, familia yake, ndugu zake na Mungu aliyemuweka kwenye kazi hiyo. Hafai
 
Kakosa nini kwa mke mzuri namna hii, kiasi cha kupapasa utupu wa sura mbaya kama Yule. Shetani ni mbays sana jamani. Tamaa mbaya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom