Gigy Money asaidiwe

Gigy Money asaidiwe

Jaribu kumtag Mhe. Waziri. Kuhusu kuharibu maadili ya wanawake, maadili yashaharibiwa kitambo sana kupitia Bongofleva, yeye ni product tu.
Wewe umeumia sana, ila je wewe pia ni Mtakatifu?
Hakuna aliyekamilika chini ya jua hivyo siwezi kujiita mtakatifu... Lkn Gigy anahitaji msaada, ukimtazama vizuri ana maumivu makalio moyoni... Asaidiwe kisaikolojia. Pili ukahaba haujarasimishwa hapa nchini kwetu, HAWEZI kujinasibu hadharani eti anauza mwili... Vijana wadogo ambao humchukulia yeye kama role model haswa ukichukulia msaini ni kioo Cha jamii, wataona kuuza mwili ni njia rahis ya kupata mafanikio.... Pia namwombea sana mwanae asikutane na hizo video mamake akijisifia ujinga

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Jambo la kula Ugali kwa Picha ya Samaki wanaweza ndugu zetu Wapare tu.

Yaani hadi nafikia Comment ya 211 hakuna cha Video wala hiyo Connection yenyewe 🙌
 
Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..

Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..

Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Asaidiwe au achukuliwe hatua? Kuna watu wanaohitaji kusaidiwa lakini siyo huyu kahaba.
 
Back
Top Bottom