Gigy Money asaidiwe

Gigy Money asaidiwe

Kajirecord aamuuzie mangi video ili apate hela

mji mzito huu hapo kwa haraka haraka Ana mil 50

hata wewe ukiwa star mrushie mangi aiweke kwenye app .. Mgawane pesa.

watu wanaishi kwa akili
 
Akadumba by Ney wa mitego
Ni hatari mno
Kutoka kwenye msambwanda
bb718a41f97688c42ed725c2d6ed2d3d~2.jpg


Mpaka flatscreen
FB_IMG_1700907066040.jpg


Ni hatari mno. Zile tetesi za umeme...........
 
Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..

Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..

Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Si juzi tu alikuwa kanisani analia au hakuwa yeye.
 
Wasichana wadogo wanamfuatilia Gigy? Wazazi wao wapo wapi?

Mtoto wako unasubiri afundishwe maisha na gigy au wasanii? Wewe kazi yako ni nini? Mnataka serikali iwafanyie kila kitu. Usipomfunza mwanao maadili atafunzwa na ulimwengu.
watu hawajui maana serikali, wakielewa serikali ni mimi na wewe ndipo kutakucha
 
Umesema sahihi mkuu,sio swala la uhuru wa wakujiachia ila pia ni swala la picha wanayoibeba Binti zetu na dada zetu,Kwa mtu kama Giggy ambaye ana mabinti million 2 wanaomfuatilia na wengine kumwona kama role model wao,Serikali sikuvu iharakishe kuchukua hatua Kwa Hawa mbuzi laaah sivyo we are soooo futurely screwed
Wasipowahi kuchukua HATUA stahiki Taifa litachanganyikiwa... Tutakuwa na mama wa ajabu sana wajawo.. Mungu amlinde BBY Myra, na serikali ikiwezekana imchukue

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..

Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..

Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Malezi mabovu
 
Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..

Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..

Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Inakuuma nini yeye kutumia mwili wake anavyopenda? Wewe hujawahi kuzini? Nchi hii zinaa sio kosa la jinai.

Watu wamejaa unafiki.
 
Back
Top Bottom