Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatari mnoAkadumba by Ney wa mitego
Si juzi tu alikuwa kanisani analia au hakuwa yeye.Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..
Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..
Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Nikutumie tushee dhambi ww mwenyekiti wa nyeto?
watu hawajui maana serikali, wakielewa serikali ni mimi na wewe ndipo kutakuchaWasichana wadogo wanamfuatilia Gigy? Wazazi wao wapo wapi?
Mtoto wako unasubiri afundishwe maisha na gigy au wasanii? Wewe kazi yako ni nini? Mnataka serikali iwafanyie kila kitu. Usipomfunza mwanao maadili atafunzwa na ulimwengu.
Leo unamwita broo kiupole hivo ili akupe connectionWe usinambie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Fanya mafekeche niione bhana bro
hahahaimagine mama yako anaona halafu anavutiwa halafu anaanza kufanya Porn... utafanyaje? utatetea pia?
drone umeshainasa nnalaf alikuwa thick, na nyama, [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Wasipowahi kuchukua HATUA stahiki Taifa litachanganyikiwa... Tutakuwa na mama wa ajabu sana wajawo.. Mungu amlinde BBY Myra, na serikali ikiwezekana imchukueUmesema sahihi mkuu,sio swala la uhuru wa wakujiachia ila pia ni swala la picha wanayoibeba Binti zetu na dada zetu,Kwa mtu kama Giggy ambaye ana mabinti million 2 wanaomfuatilia na wengine kumwona kama role model wao,Serikali sikuvu iharakishe kuchukua hatua Kwa Hawa mbuzi laaah sivyo we are soooo futurely screwed
Nilikuwa natamani kumjibu kama hivi naona umeandika vizuri zaidi ya ningeandika mimiJaribu kumtag Mhe. Waziri. Kuhusu kuharibu maadili ya wanawake, maadili yashaharibiwa kitambo sana kupitia Bongofleva, yeye ni product tu.
Wewe umeumia sana, ila je wewe pia ni Mtakatifu?
Malezi mabovuKwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..
Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..
Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
😂😂😂 Nimeona nimeona nimeoooona 🤣drone umeshainasa nn
kitambo sana, ila haina hadhi ya kipigia nyeto, bibie kapoteza mwili mno, kawa kama miedrone umeshainasa nn
Wachaga mna roho mbaya sana kwenye helaKuna kipindi niliona wasanii wakikopeshwa mipesa na government, hivi wataweza kuzirejesha?
ZiosheWachaga mna roho mbaya sana kwenye hela
Mkuu nigawie hiyo clipNimeona na video jamaa yule yule anamchakaza amber lulu kudadeki yule malaya mbovu wa usa sijui kamtuma muhuni wapate engagement aloo jamaa anatembeza fimbo kiroho mbaya sana
Inakuuma nini yeye kutumia mwili wake anavyopenda? Wewe hujawahi kuzini? Nchi hii zinaa sio kosa la jinai.Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..
Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..
Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Nani?😁... na huyo phaller kaingiza ulimi palepale, ptuuuuu
jamaa DMs insta lazima zijaeNani?😁