Gigy Money asaidiwe

Gigy Money asaidiwe

Na mimi niliwaza kama hivyo. Huyu binti anapitia kipindi kigumu sana kisaikolojia.

Amefanikiwa kupata jina kubwa mno kuliko mafanikio aliyokuwa nayo na hili ndilo hasa linalomuumiza.

Ukichunguza anakuwa na uadui na kila mtu anaehisi ana mafanikio kuliko yeye hasa wanawake wenzake. Anahisi kila wanachopata wenzie ilipaswa akipate yeye.

Gigy Money ni aina ya watu anaetarajia ukiwa karibu nae umpe tu, hata ikiwa anakutukana uendelee kumpa kila anachohitaji. Kinyume na hapo unakuwa ni adui yake.

Gigy Money analaumu kila mtu kwa kukosa kwake isipokuwa yeye mwenyewe. Anajiona yeye ni victim kila sehemu.
Huyu nammithilisha na Ruby. Fikra zao zote ni moja.

Huyu binti anahitaji counselling ya hali ya juu mno.
Jieleze na wewe ni mtu wa aina gani!

Nyie ni mabingwa wa KUCHANGANUA WATU lakini ya kwenu mmeyaficha kwenye KAPU.

Fungua tuyaone na yako! Lamomy
 
Wasichana wadogo wanamfuatilia Gigy? Wazazi wao wapo wapi?

Mtoto wako unasubiri afundishwe maisha na gigy au wasanii? Wewe kazi yako ni nini? Mnataka serikali iwafanyie kila kitu. Usipomfunza mwanao maadili atafunzwa na ulimwengu.
Eti wimbo wa Hanii wa Zuchu unaharibu watoto. Yaani watoto wanaharibiwa na wimbo? Wakati huo wazazi/walezi wao wakiwa wapi?

Kama mtoto wako anaharibiwa na wimbo basi kama mzazi jichunguze sana. Labda hukupaswa kuwa mzazi ulijilazimisha tu 🚮🚮🚮
 
Huyo Gigy ni mtu mzima.

Mwacheni aishi maisha yake.

Kwa nini mnajali sana maisha ya watu wengine? Hamna maisha yenu?

Huyo dada ni mtu mzima. Mwili ni wake.

Akiamua kuuuza, hilo ni jambo lake.

Fair exchange ain’t robbery!!

Leave her alone.
Indeed.

Humu jamiiforums tumebakiza watu wachache sana wenye akili timamu kama wewe.
 
imagine mama yako anaona halafu anavutiwa halafu anaanza kufanya Porn... utafanyaje? utatetea pia?
Inategemeana na akili yake pia na maamuzi atakayochukua kutokana na maarifa aliyokuwa nayo kuhusu hayo matukio, kama ni yeye, hawezi fanya hayo mambo, ila tukiichukua kama mfano wa wanawake wengine, kwanza sijafanya utetezi wa aina wowote ila niliuliza: Je hujawahi nunua watu kama hawa sirini?

Jambo alilolifanya sio sahihi ila chanzo cha tatizo ni wanaume wanaowanunua na kuwapa viburi wanawake, at the end of the day wanawake ni emotional beings, na inawezekana pia wanaume hao wanaowawapa hela wanawalaumu sana. So mi nimejaribu kufikiria pande zote mbili.
 
Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..

Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..

Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app

Sent from my TECNO CI6 using
 
Back
Top Bottom