safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Msemaji yupi huyo ?Msemaji kapewa kinyonyo anakinyonya dunia hii🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msemaji yupi huyo ?Msemaji kapewa kinyonyo anakinyonya dunia hii🤣🤣🤣🤣
ManaraMsemaji yupi huyo ?
Kakulia kurasini wazee wa bandari wamejilia utamu mpaka basi mzoefu huyo, nyie mnasema bangi ila huyo hata mzima anakupa kinyeo kama hana akili nzuri hana noma kabisaMtu anakiri na kujitapa kuwa Mama yake alimzalia chooni!! Yaani ilikuwa katikati ya kutumbukia chooni na ku survive, ila aka survive. Pili hata jina la ubini alilopewa ni kwamba mama yake alimuandika tu Stamford, lakini kiukweli huyu ni purely mtoto wa mtaani.
Nachokiona hapa ni jambo moja tu la msingi ni kuhusu kujirekodi ili zije rushwa mitandaoni haijalishi nani kazirusha. Hayo mengine ni masiha ya mtu na ukizingatia ni mtu mzima ana akili zake. Cha msingi hapa sheria ifate mkondo wake ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia za kujirekodi wakome maana ni kuharibu vizazi vingine hata kama mtoto utamlea namna gani anaweza kukutana na video hizi sehemu ambayo hata hukutarajia.Huyu dada ukiangalia hata kabla ya hiyo video kuvuja amekuwa akijisifia na kupost picha za ajabu sasa kwa tukio hili sishangai kama hakudhamiria na nimesikia pia akisema sijui hiyo video ya mwaka gani yaani ni mtu ambaye anajaribu pengine kuonyesha ni kitu cha kawaida sana ili watu wasahau mara anaibuka tena ili watu wamuonee huruma kwa kudai sijui anamtoto akiona nikajiuliza sasa rekodi ilikuwa ya nini?Hawa wasanii wetu wengi naona ni shida sana na yote haya ni kutaka sijui urahisi wa maisha nashindwa kuelewa. Kibaya leo tunaongelea hili usishangae siku chache mbeleni akaibuka tena mwingine na mambo kama haya au zaidi ya haya. Nilikuwa namuona ni muhuni ila mjanja ila baada ya kusikia haya madudu nimechoka kabisa. Hivi vitu watu wanafanya sawa ila kwa siri ili kulinda heshima zao kwa jamii sasa fikiria leo akipita sehemu watu wanamuangaliaje? Hata wale wanaojiuza sinza wanatoka usiku sababu wanalinda heshima zao maana gizani huwezi mjua ni nani.Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..
Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi cha vijana wadogo.
Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Jina lake alilopewa na wazazi ni Gift Stanford Joshua kuna muda alienda kanisani kuombewa baada ya KUYAKOROGAHivi huyu ni mkristo au mwislam?
We si uliringa kunitumia 😂😂😂Kumbe ulikuwa unaning’ang’aniza niiweke hapa kumbe wahuni wamekufuata pm wakakurushia kimya kimya wanaume sisi tutachomwa moto na kuni nyingi sana aisee
😂😂😂 wakati hivo vitu nao wanafanyaYani kwenye connection wabongo ni wanyenyekevu hujapata kuona
😂😂Wabongo nuksi aisee😂😂😂 wakati hivo vitu nao wanafanya
Na amefanya kwa siri na ikavujishwa na ikarushwa kwenye apps ya Mange inayolipiwa ambayo kimsingi ni "only for members" hivyo shida ipo kwa wananchi kupenda umbea na kuzidi kuisambaza. Kama mngekemea huko huko mlipoiona ingekuwa poa zaidi kuliko mmeiona kwa siri mkiwa wenyewe kwa wenyewe alafu mnakuja huku kwenye majukwaa ya wazi kujadili issue zenu mlizoziangalia faragha. (In this case, nyie ndo mnaambukiza wengine kwa kutuletea story ambazo hatujaziona)ishu ya msingi hpa ni kwamba anaambukiza wengine kufanya huo ufuska.. afanye kwa siri basi maana hii sio biashara halali..
Wamekufuata dm ? Vijana wana kiu sana aisee daaah noma ahaha, mtu kaona unaniomba mimi akaona huyu jamaa anachezea fursa ngoja nijipeleke dm na video zote , NAWAPONGEZA VIJANA WA KITANZANIA WANAJUA KUCHEZA NA FURSAWe si uliringa kunitumia 😂😂😂
Dhambi nazo za kumnyima mtu?!!
Bongo nyoso 🤣🤣🤣😂😂Wabongo nuksi aisee
Bro unavyokazia sasa km ulikuwepo kha! 🤣🤣🤣🤣Wamekufuata dm ? Vijana wana kiu sana aisee daaah noma ahaha, mtu kaona unaniomba mimi akaona huyu jamaa anachezea fursa ngoja nijipeleke dm na video zote , NAWAPONGEZA VIJANA WA KITANZANIA WANAJUA KUCHEZA NA FURSA
Hivi kumbe Amber rutty ni mnyakyusa?Jana insta kulichafuka!!
Ila semaji naye anavyonyonya nyonyo kwa kudeka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yote tisa kumi gigy alivyoingia live kumchamba Mange khaaa!! Nyie gigy mkavu
Ila wanyaki wana balaa kutoka Amber rutty mpk gigy na amber Lulu [emoji23][emoji23][emoji23]
Bado record inashikiliwa na green city
Jaman si Vijana wa kitanzania tunajuana bana, yan yameona mimi nachezea fursa aloo 😂😂😂Bro unavyokazia sasa km ulikuwepo kha! 🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji848][emoji23][emoji23]Waambie nahitaji video ya manara, amber lulu nyingine nimeshaziona, halafu upunguzage kuwashwa washwa fala wewe
Mimi tu na uzee wangu simfatilii namuona km mpuuzi hivi asiejitambuaWasichana wadogo wanamfuatilia Gigy? Wazazi wao wapo wapi?
Mtoto wako unasubiri afundishwe maisha na gigy au wasanii? Wewe kazi yako ni nini? Mnataka serikali iwafanyie kila kitu. Usipomfunza mwanao maadili atafunzwa na ulimwengu.