Gigy Money: Nimeshatembea na Kiba, Mavoko na Hemed PhD, walinitongoza instagram

Hahaha na nay wa mitego alitoa lako tano.nauliza tu
 
Huyu anataka kumponza Ali Kiba tu.
 
kumbe kasalary kangu ka mwezi mmoja tu kanatosha KULA SUPUUUU...
 

Mimi ukianza basi huwa namaliza Mkuu au hujanijua vizuri? Principle yangu Kuu ni ile ile na haitobadilika hadi labda nifike Mbinguni ambapo " Wewe ukijamba Mimi naharisha kabisa ".
 
Na bora ingekuwa na password uimiliki mwenyewe ila ndio wana loweka kamba zao hata mateja.
 
Wasichana wa bongo tangu wagundue instagram ni shida kweli.
 
Laki tano kila siku!
Huenda alipewa siku ya kwanza na mzigo akaachia akajua ni mteremko

Jamaa yake si ndio huyu hapa anasepa[emoji188]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…