Gilead Teri: Sera za Uchumi za Rais Samia Zavutia Uwekezaji wa Trilioni 20 ($7.7b). Amfananisha na Deng Xiaoping Baba wa Uchumi wa China

Gilead Teri: Sera za Uchumi za Rais Samia Zavutia Uwekezaji wa Trilioni 20 ($7.7b). Amfananisha na Deng Xiaoping Baba wa Uchumi wa China

Watanzania wachache tunapenda masuala haya, wengi tupo na mada za kina TL na Mbowe pamoja na utekaji unaendelea. Kina Mdude Nyagali wapo midomoni mwa wengi wetu kuliko masuala chanya ya kiuchumi. Tupo kisharishari zaidi.
kweli kabisa huyu Rais Samia kwenye FDI kafanya balaa kwa muda mfupi.Ecomically tuna uelekeo mzuri.
 
Back
Top Bottom