Gilead Teri: Sera za Uchumi za Rais Samia Zavutia Uwekezaji wa Trilioni 20 ($7.7b). Amfananisha na Deng Xiaoping Baba wa Uchumi wa China

Gilead Teri: Sera za Uchumi za Rais Samia Zavutia Uwekezaji wa Trilioni 20 ($7.7b). Amfananisha na Deng Xiaoping Baba wa Uchumi wa China


Haha wenzio hii hainui wananchi wanataka rais atangaze kuwa namtumbua mkurugenzi kwa kwa kushindwa kukamilisha mradi au kuwadai kodi ya trillion Barrick
 
Wewe ndio dishi likeyumba na unahangaishwa na mihemko ya chuki.

Hoja hapa ni ongezeko la miradi zaidi ya mara 3 sawa ilivyowahi kutokea huko China ya Deng.

Hajalinganisha value hapo.
Wewe ndiyo mtupu kabisa.


Nami nimekuwekea ufafanuzi wa ulinganifu.

Hivi kama gari linakwrnda kwa spidi ya 40km/hr, na jingine linakwenda 5km/hr. Kila moja likaongeza speed yake mara 3, yatakuwa yamekaribiana?

Maana yake hilo la mwanzo litaenda 15km/hr, la pili litakuwa kwenye 120km/hr. Kama yote yalianxia kutembea tokea sehemu moja. Baada ya saa moja, kabla ya kuongeza mwendo, la kwanza lilikiwa 5km kutoka starting point, la pili 40km from starting point. Baada ya kuongeza mwendo mara 3 yake, la kwanza lipo 20km, la pili lipo umbali wa 160km. Mara ya kwanza separation distance ilikuwa 35km, ya pili seperation distance ni 145km. Hivi hawa kuna namna yoyote ya kukaribiana? Na una uhalali wa kuwalinganisha? Yaani kobe akiongeza mwendo mara 3 anamkaribia chita akiongeza mwendo mara 3!! Shida kweli!
 
Wewe ndiyo mtupu kabisa.


Nami nimekuwekea ufafanuzi wa ulinganifu.

Hivi kama gari linakwrnda kwa spidi ya 40km/hr, na jingine linakwenda 5km/hr. Kila moja likaongeza speed yake mara 3, yatakuwa yamekaribiana?

Maana yake hilo la mwanzo litaenda 15km/hr, la pili litakuwa kwenye 120km/hr. Kama yote yalianxia kutembea tokea sehemu moja. Baada ya saa moja, kabla ya kuongeza mwendo, la kwanza lilikiwa 5km kutoka starting point, la pili 40km from starting point. Baada ya kuongeza mwendo mara 3 yake, la kwanza lipo 20km, la pili lipo umbali wa 160km. Mara ya kwanza separation distance ilikuwa 35km, ya pili seperation distance ni 145km. Hivi hawa kuna namna yoyote ya kukaribiana? Na una uhalali wa kuwalinganisha? Yaani kobe akiongeza mwendo mara 3 anamkaribia chita akiongeza mwendo mara 3!! Shida kweli!
Huna ulijualo wewe hater 👇👇

View: https://x.com/InvestTanzania/status/1863549112362082620?t=5ss50HD8dR-Psefx_RCBxw&s=19
 


Inabidi ujue namba. Tunajisifia kwa imports wenye akili wanajisifia kwa export. Yaani tunajisifia kwa kuleta mitumba wenzetu wanafanya uzalishaji. Tatizo la machawa wengi ni wajinga jinga. Kenya wana produce zaidi locally sisi tunaagiza ngano, mbolea, nguo, vijiko na ujinga jinga wote tunatengeneza unga tu wa ngano!!, sigara na vinywaji. Mama oyee!
 
Inabidi ujue namba. Tunajisifia kwa imports wenye akili wanajisifia kwa export. Yaani tunajisifia kwa kuleta mitumba wenzetu wanafanya uzalishaji. Tatizo la machawa wengi ni wajinga jinga. Kenya wana produce zaidi locally sisi tunaagiza ngano, mbolea, nguo, vijiko na ujinga jinga wote tunatengeneza unga tu wa ngano!!, sigara na vinywaji. Mama oyee!
Kiingereza ni kigumu kwako 😂😂
 
Weka hoja sio Kuandika kama mjinga.

Kukopwa wazabuni kumeanza awamu ya mama?
Sasa kama huwalipi wazabuni wako ili walipe marejesho kwenye taasisi za fedha, kulipa kodi na kuwalipa mishahara wafanyakazi unakuja kutamba usichokielewa hapa ndo maana nimesema nakaa kimya
 
Kiingereza ni kigumu kwako 😂😂

Inabidi ujue namba. Tunajisifia kwa imports wenye akili wanajisifia kwa export. Yaani tunajisifia kwa kuleta mitumba wenzetu wanafanya uzalishaji. Tatizo la machawa wengi ni wajinga jinga. Kenya wana produce zaidi locally sisi tunaagiza ngano, mbolea, nguo, vijiko na ujinga jinga wote tunatengeneza unga tu wa ngano!!, sigara na vinywaji. Mama oyee!

Chawa oeyee
 
Inabidi ujue namba. Tunajisifia kwa imports wenye akili wanajisifia kwa export. Yaani tunajisifia kwa kuleta mitumba wenzetu wanafanya uzalishaji. Tatizo la machawa wengi ni wajinga jinga. Kenya wana produce zaidi locally sisi tunaagiza ngano, mbolea, nguo, vijiko na ujinga jinga wote tunatengeneza unga tu wa ngano!!, sigara na vinywaji. Mama oyee!

Chawa oeyee
Hujui kizungu wewe
 
😂😂 sawa Chawa nipo Kariakoo mimi ni muuza mitumba tu.
Hata ungekuwa unafundisha literature Udsm Bado wewe ni kilaza hujui kizungu ndio maana umeshindwa kuelewa kilichoandikws na gazeti.
 
Inabidi ujue namba. Tunajisifia kwa imports wenye akili wanajisifia kwa export. Yaani tunajisifia kwa kuleta mitumba wenzetu wanafanya uzalishaji. Tatizo la machawa wengi ni wajinga jinga. Kenya wana produce zaidi locally sisi tunaagiza ngano, mbolea, nguo, vijiko na ujinga jinga wote tunatengeneza unga tu wa ngano!!, sigara na vinywaji. Mama oyee!
Kwani huon hapo kuwa Uganda kanunua mzigo mkubwa toka tanzania kuliko kenya .
Kwa maana nyingine tanzania kaexport mzigo mkubwa kwenda Uganda kuliko kipindi chochote
 
Hata ungekuwa unafundisha literature Udsm Bado wewe ni kilaza hujui kizungu ndio maana umeshindwa kuelewa kilichoandikws na gazeti.

Machawa mnatakiwa kuombewa sikujua kama bongo imefika hapa🤦🏾‍♂️. Nitakuombea ndugu yangu najua hali ni ngumu inabidi muunge mkono chochote ili muweze kuishi pole sana ndugu yangu. Tafuta njia za kujitegemea wasije kukuomba ubong’oe
 
Back
Top Bottom