Gilead Teri: Sera za Uchumi za Rais Samia Zavutia Uwekezaji wa Trilioni 20 ($7.7b). Amfananisha na Deng Xiaoping Baba wa Uchumi wa China

Gilead Teri: Sera za Uchumi za Rais Samia Zavutia Uwekezaji wa Trilioni 20 ($7.7b). Amfananisha na Deng Xiaoping Baba wa Uchumi wa China

Watanzania wachache tunapenda masuala haya, wengi tupo na mada za kina TL na Mbowe pamoja na utekaji unaendelea. Kina Mdude Nyagali wapo midomoni mwa wengi wetu kuliko masuala chanya ya kiuchumi. Tupo kisharishari zaidi.
Nitafurahia sera ya kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja kama itakuwepo
 
Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania TIC bwana Gerald Teri amesema sera Bora na nzuri za Uchumi na Biashara zilizoasisiwa na Rais Samia zimefanikisha kuvutia uwekezaji wa mtaji (FDI) wenye thamani ya $7.7 bln Kwa mwaka 2024.

Bwana Teri amesema Hilo ni ongezeko la zaidi ya mara 3 kutoka Shilingi Trilioni 5( $2b) mwaka 2022 Hadi Trilioni 20 ($7.7b) mwaka 2024.

Pia soma Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.

Bwana Teri amefananisha ukuaji huu wa Uchumi na kipindi Cha Uongozi wa Rais Deng ambae anajulikana kama baba wa Uchumi wa China Mpya kwani mnamo mwaka 1992 ,China chini ya Deng Xiaoping ikipata ongezeko kubwa la uwekezaji na ujuaji wa Uchumi wa zaidi ya mara 3.👇👇



My Take: Hakika Samia ndio Deng Xiaoping wa Tanzania na amekuwa rafiki mkubwa wa biashara na uwekezaji.

Tunampa maua yake angalia hai na anaona.👇👇

Deng xiaoping etiii ? Foolish
 
Mbombo ngafu, Mimi sio mtalaam wa uchumi.
Ila mambo mengine yanahitaji akili ya kawaida na sio Elimu husika, hasa hili la nchi kuwa na uchumi wakueleweka.

Ninachoona ni milango iko wazi wahuni wadunia wanamwagika + wale wa ndani hasa wale ndugu zetu tunaowaita Watanzania wenye asili ya -------
 
Watanzania wachache tunapenda masuala haya, wengi tupo na mada za kina TL na Mbowe pamoja na utekaji unaendelea. Kina Mdude Nyagali wapo midomoni mwa wengi wetu kuliko masuala chanya ya kiuchumi. Tupo kisharishari zaidi.
Huyo Gerald Teri, dish lirakuwa limeyumba:

Yaani unalinganisha uwekezaji wa nje (FDI) wa Tanzania wa dola bilioni 7, na uwekezaji wa makampuni ya kigeni nchini china wa dola bilioni 90 kwa mwaka!! Lazima uwe mgonjwa. Ni sawa na muuzaji wa nyanya, ambaye mwakajana aliuza nyanya akapata shilingi milioni 1, halafu mwaka huu akapata shilingi milioni 3, halafu aseme anafanana na mauzo ya Bakhresa, kwa vile tu mauzo ya Bakhresa mwaka uliopita yalikuwa shilingi bilioni 100, na mwaka huu yamekuwa bilioni 300.
 
Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania TIC bwana Gerald Teri amesema sera Bora na nzuri za Uchumi na Biashara zilizoasisiwa na Rais Samia zimefanikisha kuvutia uwekezaji wa mtaji (FDI) wenye thamani ya $7.7 bln Kwa mwaka 2024.

Bwana Teri amesema Hilo ni ongezeko la zaidi ya mara 3 kutoka Shilingi Trilioni 5( $2b) mwaka 2022 Hadi Trilioni 20 ($7.7b) mwaka 2024.

Pia soma Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.

Bwana Teri amefananisha ukuaji huu wa Uchumi na kipindi Cha Uongozi wa Rais Deng ambae anajulikana kama baba wa Uchumi wa China Mpya kwani mnamo mwaka 1992 ,China chini ya Deng Xiaoping ikipata ongezeko kubwa la uwekezaji na ujuaji wa Uchumi wa zaidi ya mara 3.👇👇



My Take: Hakika Samia ndio Deng Xiaoping wa Tanzania na amekuwa rafiki mkubwa wa biashara na uwekezaji.

Tunampa maua yake angalia hai na anaona.👇👇

Mfanyabiashara maarufu na mwenye uzoefu wa uwekezaji Rostam anasema hakuna nchi iliyoendelea kwa kutumia wawekezaji wa nje. Mtaalamu wa theory za uchumi anaiona Tanzania ikikuwa kwa kutumia wawekezaji wa nje. Hapo sasa!
 
Huyo Gerald Teri, dish lirakuwa limeyumba:

Yaani unalinganisha uwekezaji wa nje (FDI) wa Tanzania wa dola bilioni 7, na uwekezaji wa makampuni ya kigeni nchini china wa dola bilioni 90 kwa mwaka!! Lazima uwe mgonjwa. Ni sawa na muuzaji wa nyanya, ambaye mwakajana aliuza nyanya akapata shilingi milioni 1, halafu mwaka huu akapata shilingi milioni 3, halafu aseme anafanana na mauzo ya Bakhresa, kwa vile tu mauzo ya Bakhresa mwaka uliopita yalikuwa shilingi bilioni 100, na mwaka huu yamekuwa bilioni 300.
Wewe ndio dishi likeyumba na unahangaishwa na mihemko ya chuki.

Hoja hapa ni ongezeko la miradi zaidi ya mara 3 sawa ilivyowahi kutokea huko China ya Deng.

Hajalinganisha value hapo.
 
Mfanyabiashara maarufu na mwenye uzoefu wa uwekezaji Rostam anasema hakuna nchi iliyoendelea kwa kutumia wawekezaji wa nje. Mtaalamu wa theory za uchumi anaiona Tanzania ikikuwa kwa kutumia wawekezaji wa nje. Hapo sasa!
Uwekezaji mkubwa ni WA ndani na sio hao wa Nje.
 
Back
Top Bottom