Gilead Teri: Sera za Uchumi za Rais Samia Zavutia Uwekezaji wa Trilioni 20 ($7.7b). Amfananisha na Deng Xiaoping Baba wa Uchumi wa China

Gilead Teri: Sera za Uchumi za Rais Samia Zavutia Uwekezaji wa Trilioni 20 ($7.7b). Amfananisha na Deng Xiaoping Baba wa Uchumi wa China

Ila bongo bana!! Hv Kuna kipnd uchumi ulikuwa vzuri kuliko kipnd Cha mwenda zake?? Au ndio vile mkono uende kinywani
Duuh sijui mnapima uchumi kwa kigezo kipi? Uchumi sio kutangaza kujenga ni pamoja na kuvutia wawekezaji, kutafuta masoko kwa bidhaa zinazozalishwa tanzania, kutengeneza ajira kwa watanzania na kadhalika.
Sasa ukija kipind cha mwendazake karibia kila zao la tanzania lilikufa, choroko,korosho,mbaazi, tumbaku na hata Mahindra songea yalifika mpaka 23,000 kwa gunia mwaka 2020.
Benk nyingi zilifungwa na zilizostahimili zilikwenda kwa hasara.
Pamoja na yote mwendazake hakuajiri kwa miaka yake yote hivyo kukawa na uhaba wa ajira huku makampuni yakizid kupunguza watu.
Tatzo wabongo tunajua uchumi ni Ile mtu kuropoka tu
 
Sawa lakini kwanini GDP inatembea mwendo wa kobe?
GDP huwez ipima kwa miezi Bali effects zake ni miaka .
Mfano tu ni hii ya kuvutia wawekezaji, mpaka waanze kujenga viwanda na kuanza uzalishaji na ndo walau baada ya mwaka tupime uzalishaji wao si China ya miaka 2.
Hata kama ni mkulima mpaka utangaze kuwa soko la mazao Flani limepatikana uhamasishe kilimo watu walime wavune wauze si China ya mwaka.
 
Duuh sijui mnapima uchumi kwa kigezo kipi? Uchumi sio kutangaza kujenga ni pamoja na kuvutia wawekezaji, kutafuta masoko kwa bidhaa zinazozalishwa tanzania, kutengeneza ajira kwa watanzania na kadhalika.
Sasa ukija kipind cha mwendazake karibia kila zao la tanzania lilikufa, choroko,korosho,mbaazi, tumbaku na hata Mahindra songea yalifika mpaka 23,000 kwa gunia mwaka 2020.
Benk nyingi zilifungwa na zilizostahimili zilikwenda kwa hasara.
Pamoja na yote mwendazake hakuajiri kwa miaka yake yote hivyo kukawa na uhaba wa ajira huku makampuni yakizid kupunguza watu.
Tatzo wabongo tunajua uchumi ni Ile mtu kuropoka tu
Hao ni loosers hawajui wanachoongea ila Kwa vigezo vyote vya Kiuchumi,Tanzania imya Samia inafanya vizuri kuliko kawaida.

Mfano sekta ya viwanda inakua Kwa Kasi sana Kwa Sasa kuliko wakati mwingine wowote kuanzia Pwani ambako ndio mama wa viwanda Hadi Mikoani huko Rukwa,Kigoma na Katavi mambo ni 🔥🔥👇👇
IMG_20241208_124615_534.jpg
IMG_20241208_124617_652.jpg
 
Wachaaa......weeee.......wawekezaji kutoka nje (FDI) hawajawahi kuendeleza taifa lolote zaidi ya kuchuma, kutunyonya, kukwepa kodi na kuondoka zao uwezeshwaji wa wafabiashara wa ndani ndo siraha yetu na injini ya uchumi wetu
Kama umefuatilia kwenye hizo 7bil nusu ya wawekezaji wanatoka tanzania pia kuvutia wawekezaji wa nje sio kosa si wanakuja na mitaji Yao bado watatengeneza ajira, watanunua umeme wetu watalipa kodi za vat na income tax ambayo ni 30 ya faida Yao. Dhana ya kukwepa kodi sio ya wawekezaji Bali walaaumu wazawa ndo wanapindisha ili wapate ugali
 
Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania TIC bwana Gerald Teri amesema sera Bora na nzuri za Uchumi na Biashara zilizoasisiwa na Rais Samia zimefanikisha kuvutia uwekezaji wa mtaji (FDI) wenye thamani ya $7.7 bln Kwa mwaka 2024.

Bwana Teri amesema Hilo ni ongezeko la zaidi ya mara 3 kutoka Shilingi Trilioni 5( $2b) mwaka 2022 Hadi Trilioni 20 ($7.7b) mwaka 2024.

Pia soma Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.

Bwana Teri amefananisha ukuaji huu wa Uchumi na kipindi Cha Uongozi wa Rais Deng ambae anajulikana kama baba wa Uchumi wa China Mpya kwani mnamo mwaka 1992 ,China chini ya Deng Xiaoping ikipata ongezeko kubwa la uwekezaji na ujuaji wa Uchumi wa zaidi ya mara 3.👇👇



My Take: Hakika Samia ndio Deng Xiaoping wa Tanzania na amekuwa rafiki mkubwa wa biashara na uwekezaji.

Tunampa maua yake angalia hai na anaona.👇👇


Sasa tumsamahe Mama huyu hata chaguzi za serikali za mitaa zimemshinda atawezaje uchumi
 
Uchawa max pro, deng xiaoping ni level za kina nyerere huko, maybe zaidi ya nyerere.
Hao ni moja ya fore father wa modern china

Punguzeni sida zisizo na msingi

Yes anafanya kazi nzuri but sifa zisiwe too much
Mkuu ukisema kwamba mtu anayeona samia anafanya vyema ni chawa basi na yule anayesifia ya mwendazake na asitake negativity ya magu ni chawa.
Hapa tukisema tuorodheshe ufisadi kipindi cha mwendazake na utakuwa wa kwanza kuanza kututolea maneno ya kejeli ni vyema kama unaona Kuna utofauti wa mawazo ukawa kimya kuliko kuona kila anayeona bora la Rais flan ni chawa
 
Mkuu tuko kwenye uchum hakujawahi kuwa na uchaguzi tanzania Bali mapitisho kwa awamu zote
TUSIONGELEE VITU AMBAVYO MAMA HAWEZI. WATU WANACHEKA HAPA MKIONGELEA UCHUMI WAKATI MAMA HAJITAMBUI. HAYA MAENDELEO MADOGO NI YA WATU WENYEWE HATA TUNGEWEKA CHURA KIZIWI YANGEKUWEPO
 
TUSIONGELEE VITU AMBAVYO MAMA HAWEZI. WATU WANACHEKA HAPA MKIONGELEA UCHUMI WAKATI MAMA HAJITAMBUI. HAYA MAENDELEO MADOGO NI YA WATU WENYEWE HATA TUNGEWEKA CHURA KIZIWI YANGEKUWEPO
Labda mkuu ungetuambia kama ni watu binafsi wenyewe leo kuwepo soko kubwa la mazao kama korosho, mbaazi ,ufuta na kadhalika ila kipindi cha mwendazake wananuzi wote walikimbia tukawa tunauza mbaazi kwa 200/kg.
Labda ungetusaidia sera magufuli alizowekeza ambazo zilivutia wawekezaji tanzania na leo hij samia kazembea wawekezaji wamekimbia?
Mimi nisaidie sera tu za kipindi cha magu tunahitaji elimika
 
Hao ni loosers hawajui wanachoongea ila Kwa vigezo vyote vya Kiuchumi,Tanzania imya Samia inafanya vizuri kuliko kawaida.

Mfano sekta ya viwanda inakua Kwa Kasi sana Kwa Sasa kuliko wakati mwingine wowote kuanzia Pwani ambako ndio mama wa viwanda Hadi Mikoani huko Rukwa,Kigoma na Katavi mambo ni 🔥🔥👇👇View attachment 3173767View attachment 3173769
Unajua wengi wanajua uchumi ni kuropoka kuwa funga huyu kamala huyu, hawajui ili nchi iendelee lazima utengeneza sera za kuinua uchumi [ expansionist policies ] haya ni pamoja na serikali kufanya matumizi na kuwaachia raia wafanye shughuli za kiuchumi.
 
DG anadhinda mitandaoni kuandika ushuzi huu??
Mkuu uchumi ni pamoja na kutengeneza mazingira ya raia kuwa afya bora na elimu bora na ili kuwepo na hivyo vitu lazima utengeneza mazingira ya ajira kwa kada husika.
Kwa kipindi cha 2015-2020 unaweza kututajia hata idadi ya madaktari aliojiri magu hata kama wanafika 500 kwa miaka 5 ila pia unakumbuka alipunguza watu , je baada ya kupunguza Ile bajeti ya Mishahara ilipungua au ilibaki vilevile na kama ilibaki vilevile Ile hela ilienda wapi
 
Back
Top Bottom