Gilead Teri: Sera za Uchumi za Rais Samia Zavutia Uwekezaji wa Trilioni 20 ($7.7b). Amfananisha na Deng Xiaoping Baba wa Uchumi wa China

Watanzania wachache tunapenda masuala haya, wengi tupo na mada za kina TL na Mbowe pamoja na utekaji unaendelea. Kina Mdude Nyagali wapo midomoni mwa wengi wetu kuliko masuala chanya ya kiuchumi. Tupo kisharishari zaidi.
kweli kabisa huyu Rais Samia kwenye FDI kafanya balaa kwa muda mfupi.Ecomically tuna uelekeo mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…