Sasa angesema sonchiba hapo sawaMkuu we sio wa zamani. Chiba jamaa kafupisha alimaanisha sonchiba kama sijakosea katika miaka ya 80"-90" kulikuwa na mcheza filamu mmoja wa kihindi alikuwa mlemavu akiitwa sonchiba. Basi tokea hapo walemavu wakaanza kuitwa hivyo.
Naam michakato ipo na haijuae Mchakalikaji na Muumba wake..Nilipata mfahamu jamaa mmoja alikuwa anauza mishkaki kwa waarabu, baada ya muda akawa na ukwasi wa kutosha.majumba,magari,na vitega uchumi sana tu.
kila mmoja alisema lake kuhusu utajiri wa jamaa, oparesheni ya ujangiri ikaja mkumba jamaa kumbe alikuwa anashirikiana na waarabu kuuza pembe za ndovu.
jamaa akakamatwa na mzigo na kuwataja wahusika,ikiwemo matajiri flani wa mjini hapa. tangu hapo mtu ukiniletea habari za fulani aliuza mchicha, mihogo, sijui kababu nakuoa bwege tu.
kuna michakato nyuma ya pazia kwenye haya mafanikio ya watu.
Uchochez huu mkuu[emoji41] [emoji41]W
ASUKUMA sio!!
Mtabaki hivo hivoAnafanana na jamaa mmoja ivi kwenye cartoon ya despicable.......
ha ha mkuu huo ndo ukweli.. siri anaijua mwenyeweSiri ya utajiri wake anaijua mwenyewe hizi zingine ni kutia nakshi nakshi tu.
Hahaha kuna uzi umeanzishwa humu kila mtu anafunguka siri za matajiri ETISiri za mafanikio za matajiri wanazijua masikini cha kushangaza wao hawafanikiwi!! Funny.
Mambo siyo rahisi hivyo.
Sishangai akili za wengi watanzania ..
Haha wabongo wanajua siri zao hahaha..huoni kuna thread mdau kaanzisha bas kila mtu anasema siri ya tajiri anayemjua hapa bongo hahaa vichekesho.Ndo kama watu huwa nawashangaa wanasemaga eti Bakhresa alianza kubrash viatu baadae mashine ya kusaga unga na kukoboa ndo maans leo tajiri.......nyooooo!!! Siri ya utajiri wa mtu anaujua yeye mwenyewe!!
Hahahaa sio uchokozi, hizo ndizo lives staili zetu akina Ngosha!!Uchochez huu mkuu[emoji41] [emoji41]
mhn! ni kweli kaka hili limenikereketa inawezekana likajenga tafakari yangu pana ya leoSiri za mafanikio za matajiri wanazijua masikini cha kushangaza wao hawafanikiwi!! Funny.
Mambo siyo rahisi hivyo.
Wamefanana kwelii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]View attachment 675535
Mungu ananiona lkn
Tumbane na ss tufike huko, ama wasemaje my Mchuchu?Wamefanana kwelii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mmmh,tupambane halafu Inna aje kunipiku akuuu...[emoji125]Tumbane na ss tufike huko, ama wasemaje my Mchuchu?
Achana na kile kizombie kwanza kinanizingua balaa.Mmmh,tupambane halafu Inna aje kunipiku akuuu...[emoji125]
Innaaaaaaaaaaaa[emoji350] [emoji350] [emoji350] kuja sikia hukuu,.uzombi kaanza lini!?Achana na kile kizombie kwanza kinanizingua balaa.
Utakuja jibu hiyo kesi we muite tu, achana nae bhana kwanza ukuje kule.Innaaaaaaaaaaaa[emoji350] [emoji350] [emoji350] kuja sikia hukuu,.uzombi kaanza lini!?