Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

Mkuu we sio wa zamani. Chiba jamaa kafupisha alimaanisha sonchiba kama sijakosea katika miaka ya 80"-90" kulikuwa na mcheza filamu mmoja wa kihindi alikuwa mlemavu akiitwa sonchiba. Basi tokea hapo walemavu wakaanza kuitwa hivyo.
Sasa angesema sonchiba hapo sawa
 
Nilipata mfahamu jamaa mmoja alikuwa anauza mishkaki kwa waarabu, baada ya muda akawa na ukwasi wa kutosha.majumba,magari,na vitega uchumi sana tu.

kila mmoja alisema lake kuhusu utajiri wa jamaa, oparesheni ya ujangiri ikaja mkumba jamaa kumbe alikuwa anashirikiana na waarabu kuuza pembe za ndovu.

jamaa akakamatwa na mzigo na kuwataja wahusika,ikiwemo matajiri flani wa mjini hapa. tangu hapo mtu ukiniletea habari za fulani aliuza mchicha, mihogo, sijui kababu nakuoa bwege tu.

kuna michakato nyuma ya pazia kwenye haya mafanikio ya watu.
Naam michakato ipo na haijuae Mchakalikaji na Muumba wake..
 
Nashukuru kwa info mzee nilikua najarib kutafuta stor yake huyu jamaa...ana pesa sio mchezo..
Ila kwa wabongo utaambiwa utajiri wa kichawi,baadhi ya wabongo akili zao bas tu

Huyu ndo ginimbi bwana

Screenshot_2018-01-15-08-50-55-1.png


Screenshot_2018-01-15-08-50-36-1.png


Screenshot_2018-01-15-08-47-43-1.png
 
Ndo kama watu huwa nawashangaa wanasemaga eti Bakhresa alianza kubrash viatu baadae mashine ya kusaga unga na kukoboa ndo maans leo tajiri.......nyooooo!!! Siri ya utajiri wa mtu anaujua yeye mwenyewe!!
Haha wabongo wanajua siri zao hahaha..huoni kuna thread mdau kaanzisha bas kila mtu anasema siri ya tajiri anayemjua hapa bongo hahaa vichekesho.
 
Back
Top Bottom