Haina ata password babe
Si ndo apo sasa mambo mengine ni taabu tupuKuna watu mnapenda matatizo muda wote mna allergy na utulivu. Sasa kwenye simu yake unatafuta kitu gani?
Na yeye simu anaficha kwasababu gani?Kuna watu mnapenda matatizo muda wote mna allergy na utulivu. Sasa kwenye simu yake unatafuta kitu gani?
Mpe kichapo huyo tayar babe wangu kashakuambia au fanya kitu inaitwa part away🤣🤣Alooh!!!
Hiyo sasa inaitwaga chake chake chako chakeYangu lakini anashika yake ukigusa tu nikimbembe yn