Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke nirahisi sana kujua kama anacheat ukiwa mwanaume timamu maan red flag zao huwa wanazioneshaga mapema tu hata kwa utani.Habari za wakati huu!
Wadau wa JF, nina girlfriend lakini hapendi kabisa nishike simu yake kinamna yoyte Ile. Hili linafanya niwaze, ilikuwa hivi, leo alikuja nyumbani asubuhi tumekaa, tumefanya yetu baada ya kumaliza tukawa tunapiga stori za kawaida ndipo nikasema ngoja nijaribu kuomba simu yake.
Ugomvi ndo ukaanzia hapo hataki kabisa nishike simu yake. Nikamnyang'anya kwa nguvu nikawa naanglia akasema pin amebadilisha lakini kuweka ile ya mwanzo ikafunguka naanza kuanglia picha tu akaja nakuanza kudai simu yake tena kwa nguvu na ugomvi juu nikimuuliza nini anaficha humu hajibu kitu anasema tu kwani simu ni yako?
Ananifanya niwaze pengine kuna vitu anaficha vibaya au laah! Nifanye nini wakuu Ili nijue ni nini anaficha?
Hahahh qbbk si mchezo au anavaa kama baba mchungajAnavaa kama anaenda toa sadaka ya mbuzi kanisani usichapiwe kweli sijajua kwenye lafudhi sijui ya kimakonde au kisukuma
Nakwambia atachapiwa sanaHahahh qbbk si mchezo au anavaa kama baba mchungaj
NimeelewaMwanamke nirahisi sana kujua kama anacheat ukiwa mwanaume timamu maan red flag zao huwa wanazioneshaga mapema tu hata kwa utani.
Embu soma hapo chini alafu Stoke kwenye ujinga huo
Believe In Yourself Keep Your Priorities Straight Take Responsibility For Yourself Create Your Own Future Focus On What You Want Learn To Visualize The Outcome Of Your Goals Never Let Anyone Control Your Destiny For You Be Creative Think Big Control Stress Be Aggressive And Assertive Think Positiveiy
Yuwiiiiiiiiii hiyo lugha sasa.Nimeelewa
Lugha ya kichungaji sio mkuuYuwiiiiiiiiii hiyo lugha sasa.
Sio kimasai hiki kweli.Lugha ya kichungaji sio mkuu
Kinyaturu hikooo😂😂Sio kimasai hiki kweli.
Inapendwa pochi mkuu.Hupendwi
Sasa km wewe ni girlfriend wangu, kwanini nikose amani nikishika simu yako? yaani wanawake wa siku hizi bhn!Hili swali muhusika ndio anajibu lake. Ila kiujumla si sawa kupekuana simu ni kutafuta kutokaa kwa amani.
Wanawake wa siku hizi? Kwani hakuna wanaume wasiotaka kupekuliwa simu zao? Kudate na mtu haimaanishi ndio unamiliki kila kitu kumuhusu kama hataki uguse simu yake heshimu hilo.Sasa km wewe ni girlfriend wangu, kwanini nikose amani nikishika simu yako? yaani wanawake wa siku hizi bhn!
Sasa nawezaje kukuita mpenzi kama sina authority juu yako? Nawezaje kukuoa kama huoneshi utii na imani tangu uchumba? siku hizi wanawake mna shida gani? mbona mnafeli pakubwa sn.Wanawake wa siku hizi? Kwani hakuna wanaume wasiotaka kupekuliwa simu zao? Kudate na mtu haimaanishi ndio unamiliki kila kitu kumuhusu kama hataki uguse simu yake heshimu hilo.
We ni lijingaHabari za wakati huu!
Wadau wa JF, nina girlfriend lakini hapendi kabisa nishike simu yake kinamna yoyte Ile. Hili linafanya niwaze, ilikuwa hivi, leo alikuja nyumbani asubuhi tumekaa, tumefanya yetu baada ya kumaliza tukawa tunapiga stori za kawaida ndipo nikasema ngoja nijaribu kuomba simu yake.
Ugomvi ndo ukaanzia hapo hataki kabisa nishike simu yake. Nikamnyang'anya kwa nguvu nikawa naanglia akasema pin amebadilisha lakini kuweka ile ya mwanzo ikafunguka naanza kuanglia picha tu akaja nakuanza kudai simu yake tena kwa nguvu na ugomvi juu nikimuuliza nini anaficha humu hajibu kitu anasema tu kwani simu ni yako?
Ananifanya niwaze pengine kuna vitu anaficha vibaya au laah! Nifanye nini wakuu Ili nijue ni nini anaficha?
This aint rightWanawake wa siku hizi? Kwani hakuna wanaume wasiotaka kupekuliwa simu zao? Kudate na mtu haimaanishi ndio unamiliki kila kitu kumuhusu kama hataki uguse simu yake heshimu hilo.