Girlfriend wangu hataki kabisa nishike simu yake

Girlfriend wangu hataki kabisa nishike simu yake

Ujana unasumbua sana mm nilikua nafanya ujinga mwingi sana ila simu ya wife nilikua naijua mpaka password yake ila ya kwangu neh....haijui kabisa .Imefika kipindi nikaamua kuachana na umalaya simu yangu si mke tu anae jua password yake mpaka watoto wangu wanaijua naishi maisha ya rahaaa sana sina vimeo japo nimezaa nje lakini na wanawske wenye adabu zao hawana maujinga ya kupiga simu hovyo.
Huyo dem anaweza akawa hajiamini ama ni malaya ana vimeo vyake bado ujana unamsumbua.
 
Habari za wakati huu!

Wadau wa JF, nina girlfriend lakini hapendi kabisa nishike simu yake kinamna yoyte Ile. Hili linafanya niwaze, ilikuwa hivi, leo alikuja nyumbani asubuhi tumekaa, tumefanya yetu baada ya kumaliza tukawa tunapiga stori za kawaida ndipo nikasema ngoja nijaribu kuomba simu yake.

Ugomvi ndo ukaanzia hapo hataki kabisa nishike simu yake. Nikamnyang'anya kwa nguvu nikawa naanglia akasema pin amebadilisha lakini kuweka ile ya mwanzo ikafunguka naanza kuanglia picha tu akaja nakuanza kudai simu yake tena kwa nguvu na ugomvi juu nikimuuliza nini anaficha humu hajibu kitu anasema tu kwani simu ni yako?

Ananifanya niwaze pengine kuna vitu anaficha vibaya au laah! Nifanye nini wakuu Ili nijue ni nini anaficha?
Kushika simu ya mwenza wako ni kosa la jinai ikithibitika unaenda jela.
 
Habari za wakati huu!

Wadau wa JF, nina girlfriend lakini hapendi kabisa nishike simu yake kinamna yoyte Ile. Hili linafanya niwaze, ilikuwa hivi, leo alikuja nyumbani asubuhi tumekaa, tumefanya yetu baada ya kumaliza tukawa tunapiga stori za kawaida ndipo nikasema ngoja nijaribu kuomba simu yake.

Ugomvi ndo ukaanzia hapo hataki kabisa nishike simu yake. Nikamnyang'anya kwa nguvu nikawa naanglia akasema pin amebadilisha lakini kuweka ile ya mwanzo ikafunguka naanza kuanglia picha tu akaja nakuanza kudai simu yake tena kwa nguvu na ugomvi juu nikimuuliza nini anaficha humu hajibu kitu anasema tu kwani simu ni yako?

Ananifanya niwaze pengine kuna vitu anaficha vibaya au laah! Nifanye nini wakuu Ili nijue ni nini anaficha?
Labda kwenye simu yake ndio kuna siri za mkutano wa Chadema ambao ulipigwa marufuku na Policcm, akaona kwa usalama wako ni bora usifungue simu yake.
 
Back
Top Bottom