Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Nifanye nini wakuu Ili nijue ni nini anaficha?
Mnyang'anye tena ili ukague ujue anachokificha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifanye nini wakuu Ili nijue ni nini anaficha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sema girlfriend wenu siyo wako.
Mnapenda kashkash nyie watu.This aint right
Naanza kujifunza kiswahili mimi au wewe unayeandika ujinga!?Sasa ambacho hujaelewa ni nin apo au unaanza kujifunza kiswahili
Ukiwekewa mipaka heshimu hilo.Sasa nawezaje kukuita mpenzi kama sina authority juu yako? Nawezaje kukuoa kama huoneshi utii na imani tangu uchumba? siku hizi wanawake mna shida gani? mbona mnafeli pakubwa sn.
Kushika simu ya mwenza wako ni kosa la jinai ikithibitika unaenda jela.Habari za wakati huu!
Wadau wa JF, nina girlfriend lakini hapendi kabisa nishike simu yake kinamna yoyte Ile. Hili linafanya niwaze, ilikuwa hivi, leo alikuja nyumbani asubuhi tumekaa, tumefanya yetu baada ya kumaliza tukawa tunapiga stori za kawaida ndipo nikasema ngoja nijaribu kuomba simu yake.
Ugomvi ndo ukaanzia hapo hataki kabisa nishike simu yake. Nikamnyang'anya kwa nguvu nikawa naanglia akasema pin amebadilisha lakini kuweka ile ya mwanzo ikafunguka naanza kuanglia picha tu akaja nakuanza kudai simu yake tena kwa nguvu na ugomvi juu nikimuuliza nini anaficha humu hajibu kitu anasema tu kwani simu ni yako?
Ananifanya niwaze pengine kuna vitu anaficha vibaya au laah! Nifanye nini wakuu Ili nijue ni nini anaficha?
Naunga mkono hoja Kila mtu ashike vyake.Simu ni yake wewe unataka kuishika ili iweje?
🤣🤣show ya ugomv konkiMpe kichapo huyo tayar babe wangu kashakuambia au fanya kitu inaitwa part away
Aya mwalimu ngoja niende tena darasani nikachukue koz ya kiswahili naona na povu zimeanza kutokaNaanza kujifunza kiswahili mimi au wewe unayeandika ujinga!?
Binafsi mi nafurah Sana mwanaume Wangu akinikagua simu Na anavoanza kunihoji maswali huyu nanii napenda sanaSasa nawezaje kukuita mpenzi kama sina authority juu yako? Nawezaje kukuoa kama huoneshi utii na imani tangu uchumba? siku hizi wanawake mna shida gani? mbona mnafeli pakubwa sn.
Kuna mawili Inaweza kuwa labda kuna picha za ngono asingependa uone ataonekana mtu wa ajabu au anakucheatBado ndo maana nataka niangalie simu yake Ili ni prove
Labda kwenye simu yake ndio kuna siri za mkutano wa Chadema ambao ulipigwa marufuku na Policcm, akaona kwa usalama wako ni bora usifungue simu yake.Habari za wakati huu!
Wadau wa JF, nina girlfriend lakini hapendi kabisa nishike simu yake kinamna yoyte Ile. Hili linafanya niwaze, ilikuwa hivi, leo alikuja nyumbani asubuhi tumekaa, tumefanya yetu baada ya kumaliza tukawa tunapiga stori za kawaida ndipo nikasema ngoja nijaribu kuomba simu yake.
Ugomvi ndo ukaanzia hapo hataki kabisa nishike simu yake. Nikamnyang'anya kwa nguvu nikawa naanglia akasema pin amebadilisha lakini kuweka ile ya mwanzo ikafunguka naanza kuanglia picha tu akaja nakuanza kudai simu yake tena kwa nguvu na ugomvi juu nikimuuliza nini anaficha humu hajibu kitu anasema tu kwani simu ni yako?
Ananifanya niwaze pengine kuna vitu anaficha vibaya au laah! Nifanye nini wakuu Ili nijue ni nini anaficha?