Githeri Man awaunganisha Wakenya wakati wa taharuki kwenye mtandao

Githeri Man awaunganisha Wakenya wakati wa taharuki kwenye mtandao

Ndio ni kande...ila wenyewe hawatii nazi na vikorombwezo vingine.

Ni mahindi, maharage labda na magadi kiasi.
Unakua na vitu vingi ndani yake nimewahi mtembelea rafiki yangu kisii nikakuta mixer ya mahindi maharage mboga ya majani na nyama ndani wanaitanga gidheri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
272c5e83405af43c1ede30dc44b3c9d0.jpg


sent from iPhone 7
 
The man himself from zero to next millionaire because of social media
abbd826df29faeb127ce0246b76a661c.jpg


sent from iPhone 7
 
Ndio mkuu, napenda sana Mokimoo...

kuna kipindi nilikw Nairobi nikazifahamu na nilikuwa nakula daily ila nilikuwa nanunua then naenda kuandaa maharage au mchuzi wa nyama mwenyewe thn nachanganya.

Mokimoo ni traditional food ya wakikuyu.
Sio hivyo tu ,pia githeri ni "national food" kiasi kwani ndio mlo unaotumiwa kwa asilimia 90% kulisha wanafunzi katika shule za boarding Kenya yote.
 
Hii ni nzuri binafsi naona ni mbinu nzuri watu maalum wa system wa wamemtumia atleast Ku neutral mjadala wa uchaguzi kenya na kwa kias naona imesadia kupunguza mihemuko ya uchaguzi hasa kwenye mitandao
 
The guy who queued to vote with githeri on his hands has his Photoshop photos gone viral ... Trending #1 in Twitter.

Here are a sample few.
-------------

b8f06ee17465b6fed9718f353ead67cd.jpg
e590dd1e8790ef25065561e883f20fc6.jpg
26ad7c734e88f107e2e735482f491fa0.jpg


Licha ya kuwepo miongoni mwa wananchi kuhusu matokeo ya kura ya urais, Wakenya kwenye mitandao ya kijamii Jumatano na Alhamisi waliunganishwa na picha ya mwanamume mmoja aliyekuwa akifurahia mlo wa Githeri kwenye foleni ya kupiga kura hapo Jumanne.

Mwanamume huyo ambaye amebandikwa jina 'Githeri Man' alinaswa na kamera ya mmoja wa wapiga kura akila mchanganyiko wake wa mahindi na maharage alioutia ndani ya karatasi ya plastiki katika kijibaridi cha asubuhi ya Jumanne.

Hadi wakati wa kuchapishwa kwa habari hii, jina lake halikuwa limetambulika wala anapoishi, kituo ambapo alipiga kura yake na aliyeipiga.

Kwenye Twitter Githeriman picha ya mwanamume huyo ilihaririwa na kuwekwa katika hali ambazo ziliibua msisimko mkubwa na utani usio na kifani.

Mojawapo ya picha hizo ilionyesha mwanamume huyo akiwa katikati ya Rais Kenyatta, Naibu Rais William Ruto na vinara wa NASA Raila Odinga na Kalonzo Musyoka.

Katika picha nyingine, alionyeshwa akifika Canaan. Msisimko wa safari ya Canaan ulianzishwa na Bw. Raila Odinga aliyasema atakuwa 'Yoshua' na kuwaongoza wakenya kutoka 'Misri'.

Alionekana pia akiwa kondakta, huku pia akitokea katika studio za Runinga za NTV na Citizen. Kwenye Spoti haikuachwa nyuma kwenye uchangamfu huo, mwanamume huyo alionekana kwenye picha mbalimbali.

Daniel Ndambuki wa Churchill Show anamsaka amhoji katika kipindi chake. Mimi niko tayari kumchangia pesa. Kubeba kwake githeri kunaonyesha alikuwa amejitolea kupiga kura. Amewaunganisha wakenya wote katika wakati wa taharuki. Tusherehekee maisha yake.

Ni kuhaririwa kwa picha hiyo ambako kulichangia wakenya mtandaoni kupunguza jumbe za chuki baada ya mwaniaji urais wa NASA, Raila Odinga kudai kwamba mfumo wa KIEMS wa IEBC ulidukuliwa usiku wa kuamkia Jumatano na kuweka matokeo ya uwongo.


6ccaebcb0650bb6421754de9e49604cd.jpg
de026d578a40ed06a3433f531d8728f3.jpg
a69aa547ce8b78f8e7cff440bb0d635a.jpg
9dc860f3730ddb366cdddeb1660802ca.jpg
f23f5b35a8bde19e7031f832a8684c82.jpg
d734e0da2fc22b1300031997c9031d83.jpg
8e1acabdcc709afd6ec4d2ef0a3f154b.jpg
cc7b1a16202d37dfcc6b5cf5f99dcd5a.jpg
1ef71f5c2e29be12c460d0e8735b97c2.jpg
b6b7e207fcd0c6a96b8cb59f36f1de05.jpg
Maharagwe na Mahindi. Mixx
5c1f4beb9ae03c0b115dee86bfc4ba21.jpg


sent from iPhone 7
Githeri man yuko bize kila kona
 
Githeri man yuko vizuri sana [emoji1]

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
DG2jVgWXoAAOYPv.jpg

Guys can you point out Githeri man over that group.
 
Back
Top Bottom