Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Mlo unaotokana na mahindi mabichi na maharage mabichi.Wakati mwingine inachanganywa na sukuma.Mimi nimeshawahi kula!Githeri ndo nini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlo unaotokana na mahindi mabichi na maharage mabichi.Wakati mwingine inachanganywa na sukuma.Mimi nimeshawahi kula!Githeri ndo nini??
Unakua na vitu vingi ndani yake nimewahi mtembelea rafiki yangu kisii nikakuta mixer ya mahindi maharage mboga ya majani na nyama ndani wanaitanga gidheriNdio ni kande...ila wenyewe hawatii nazi na vikorombwezo vingine.
Ni mahindi, maharage labda na magadi kiasi.
Sio hivyo tu ,pia githeri ni "national food" kiasi kwani ndio mlo unaotumiwa kwa asilimia 90% kulisha wanafunzi katika shule za boarding Kenya yote.Ndio mkuu, napenda sana Mokimoo...
kuna kipindi nilikw Nairobi nikazifahamu na nilikuwa nakula daily ila nilikuwa nanunua then naenda kuandaa maharage au mchuzi wa nyama mwenyewe thn nachanganya.
Mokimoo ni traditional food ya wakikuyu.
HahahahahahahHuyu jamaa anafanana na Nyani Ngabu kabisa![emoji4][emoji4][emoji4]
Ulimuona wapi au unamsikia tu kwa wazushiNdiyo,namjua![emoji53][emoji53][emoji53]
....Haswaaa ni kama makande, some years back nilikwenda nilikuwa Nyeri,nikafikia Green Hill Hotel, nikakuta hiyo kitu kwenye menu, it was very nice.
Hiyo suti asee, jamaa katokelezea poa. Mungu ambariki sana na neema zake zizidi kumuandama!The man himself from zero to next millionaire because of social media![]()
sent from iPhone 7
The guy who queued to vote with githeri on his hands has his Photoshop photos gone viral ... Trending #1 in Twitter.
Here are a sample few.
-------------
![]()
![]()
![]()
Licha ya kuwepo miongoni mwa wananchi kuhusu matokeo ya kura ya urais, Wakenya kwenye mitandao ya kijamii Jumatano na Alhamisi waliunganishwa na picha ya mwanamume mmoja aliyekuwa akifurahia mlo wa Githeri kwenye foleni ya kupiga kura hapo Jumanne.
Mwanamume huyo ambaye amebandikwa jina 'Githeri Man' alinaswa na kamera ya mmoja wa wapiga kura akila mchanganyiko wake wa mahindi na maharage alioutia ndani ya karatasi ya plastiki katika kijibaridi cha asubuhi ya Jumanne.
Hadi wakati wa kuchapishwa kwa habari hii, jina lake halikuwa limetambulika wala anapoishi, kituo ambapo alipiga kura yake na aliyeipiga.
Kwenye Twitter Githeriman picha ya mwanamume huyo ilihaririwa na kuwekwa katika hali ambazo ziliibua msisimko mkubwa na utani usio na kifani.
Mojawapo ya picha hizo ilionyesha mwanamume huyo akiwa katikati ya Rais Kenyatta, Naibu Rais William Ruto na vinara wa NASA Raila Odinga na Kalonzo Musyoka.
Katika picha nyingine, alionyeshwa akifika Canaan. Msisimko wa safari ya Canaan ulianzishwa na Bw. Raila Odinga aliyasema atakuwa 'Yoshua' na kuwaongoza wakenya kutoka 'Misri'.
Alionekana pia akiwa kondakta, huku pia akitokea katika studio za Runinga za NTV na Citizen. Kwenye Spoti haikuachwa nyuma kwenye uchangamfu huo, mwanamume huyo alionekana kwenye picha mbalimbali.
Daniel Ndambuki wa Churchill Show anamsaka amhoji katika kipindi chake. Mimi niko tayari kumchangia pesa. Kubeba kwake githeri kunaonyesha alikuwa amejitolea kupiga kura. Amewaunganisha wakenya wote katika wakati wa taharuki. Tusherehekee maisha yake.
Ni kuhaririwa kwa picha hiyo ambako kulichangia wakenya mtandaoni kupunguza jumbe za chuki baada ya mwaniaji urais wa NASA, Raila Odinga kudai kwamba mfumo wa KIEMS wa IEBC ulidukuliwa usiku wa kuamkia Jumatano na kuweka matokeo ya uwongo.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Maharagwe na Mahindi. Mixx
Githeri man yuko bize kila kona![]()
sent from iPhone 7
KandeMe pia nasubiri jibu hapa
Aisee! Wamlipe hela nyingi huyu githare man!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sent from iPhone 7
DuuhNdio ni kande...ila wenyewe hawatii nazi na vikorombwezo vingine.
Ni mahindi, maharage labda na magadi kiasi.