Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,778
Sasa mbona tarehe imeshapita?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumalizie ndotoUnataka Giza ili ufanye nini?
Hapo umenikumbusha ile ramri ilopigwa na mtabiri asiyewahi kuwa sahihi hata akijitabiria mwenyewe, juu ya uchaguzi wa marekanilbd limeweka mgomo!
halafu vitu vyengine ni utabiri tu na sifa ya kutabiri inaweza kuwa au isiwe! so mkuu take it easy hizo ni action tu wametabiri vile ambavyoingeweza kutokea lkn jua kuna weza kuchange
sasa bora hata hii ya nasa wanatumia mitambo kisha wanakisia huyo jamaa kaiaibisha kazi ya yule wamwitao ni alfa na omega! halafu watumishiwake sijui wanamfikiriaje...Hapo umenikumbusha ile ramri ilopigwa na mtabiri asiyewahi kuwa sahihi hata akijitabiria mwenyewe, juu ya uchaguzi wa marekani
Hao kondoo wake kama wana akili na wanajielewa, watakuwa washajiongeza kivyaosasa bora hata hii ya nasa wanatumia mitambo kisha wanakisia huyo jamaa kaiaibisha kazi ya yule wamwitao ni alfa na omega! halafu watumishiwake sijui wanamfikiriaje...
Hiyo kitu haipo na haitatokea.Jamani nasikia juzi mwezi ulishuka chini usiku kama saa tatu hivi,kwa mlioshuhudia tafadhali tujuze ambao hatukubahatika kuuona.Lakini pia tupe hii ina maana gani kisayansi
Hiyo kitu haipo na haitatokea.
Hiyo kitu haipo na haitatokea. Pole sanaUnajifariji huenda labda ni kwa sababu hufatilii vyombo vya habari. Mwezi mkubwa umeonekana chini zaidi kwa lugha nyingine tunasema mwezi umedondoka. Hiyo ni dalili mojawapo kuwa kiama kipo karibuni, tujiandae!
Makafiri ni ninyi mnaoua watu eti mnaenda mbinguni. Kama ni maelekezo ya muhamad kuua watu kashachomwa moto tiyari bado ninyi. Achananeni na ufundamentalist wa Dini fanyeni majukumu hakuna ajuaye siku wala saa. Fanyeni kazi kama hautakufa na mtumikie Mungu wako kama unakufa Leo. Mengine ni kuwekana kwenye matatizo tu. Kuna wapuuzi wengine walisemaga mwaka elfu mbili mwisho wa dunia nakumbuka kuna baadhi wakaacha kufanya kazi kisa wanasubiri kihama mpaka sasa miaka 16 inaenda kuisha bado tunakula maisha. Mungu wetu sio kama mwanadamu.Hii comment yako imeondoa matusi yangu niliyotaka kuwamwagia baadhi ya makafiri humu ndani,ALLAH akuhifadhi inshallah.