Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
pia hy habariliyotolewa juu kuhusu NASA ni uongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Mtume alisema itakuwa lini? Hakuna aijuaye siku wala saa!! Hoax
mtume alisema binadam hawatoishi zaid ya mwaka 1500Vipi Mtume alisema itakuwa lini? Hakuna aijuaye siku wala saa!! Hoax
source?????mtume alisema binadam hawatoishi zaid ya mwaka 1500
naomba nifafaunue kuhusu dajari kama mtaamini lakin pia kwa mm ninavoona maana quran ni kama mafumbo au inatumia lugha ngumu..naomba kuwambia mm ninavohisi huyu dajar ni mkuu wa freemasons ambae ni lucifer kwa picha tunayogaiwa na watoa habar au makala au kupitia symbols zao inaonesha dajar ana jicho moja pia anamapembe so hv hv atakujabaadae kujitokeza baada ya wazungu wakishawateka watu kwa kuwaweka cheap nd ataanza kupita kila sehem kujinad yeye ni mung ndiyo hapo sisi tutakuwa tayar tumeshakufa iiman na ndo utakuwa mwisho wa dunia...hapo ni kwa ufupi tu ila ntaleta uzi kuwafumbua watu macho.
napenda sana unavobisha ila one dayutaamin tu..siforce uniamin kwa nnachoongea mi nimekufunia ubongo tuI can't wait to hear....
Mwezi ni kweli ndugu, mi nimeshuhudia hilo tukio na niliogopa sana, yaani mwezi ulikuwa unawaka kama jua ...si walisema ni leo mbona naona jua ni kali kuliko siku zote, jana walisema mwezi kuonekana mkubwa zaidi kwani ulikuwa karibu na dunia, sijauona labda walioona watasema kweli
Kesho Nina deals zangu za maana hilo Giza lishingwe kwa jina la MunguHiki kitu hakitatokea trust me
Watanzania na imani potofu, eti maneno ya MTUME, who is mtume ndani ya bara la afrika kwenye ngozi nyeusi na tamaduni za makabila mbalimbali, tuache kuendeleza imani potofu zilizoletwa kwa biashara ya utumwa, kwanini msitumie imani za makabila yetu kuleta maendeleo ndani ya jamii badala ya kuleta utengano na ubaguzi kwa imani za kuletwa?
Mkuu juu mwezi mbona unaonekana km umetengenezwa na vioo alafu unaonekana Kama ushaanza kupata ufa au ndio watakuja Siku nyingine kutuambia wamefanya tafiti mwezi unataka kupasuka.Unaonekana![]()