Tetesi: Giza kuu la NASA na dalili ya kiama kwa utabiri wa Mtume (s.a.w)

Tetesi: Giza kuu la NASA na dalili ya kiama kwa utabiri wa Mtume (s.a.w)

mtume huyu huyu alieoa kitoto cha miaka 12 au kuna mtume mwingine?
Binti mwenye Lishe nzuri anabaleghe akiwa 9yrs old, huyo mwenye 12yrs tayari alikuwa na uzoefu wa miaka mitatu ya kubaleghe. Sasa wewe fananisha na na viandunje vya Kwenu 23yrs kinaonekana kitoto...

Vipi wale watoto Wadogo wa kiume 5-9yrs waliokuwa wakilawitiwa na viongozi wa juu wa KANISA? Unyama Unyama Unyama
 
Once again kumekucha..... Hizo mi propaganda tu, Mwisho wa dunia nakumbuka nikiwa maanza kujielewa nilisikia itakua ni 2000,
 
mtume huyu huyu alieoa kitoto cha miaka 12 au kuna mtume mwingine?

kwa hyo alikilawiti maana alikaoa kakiwa kana miaka 6 akakaingilia kakiwa kana miaka 9

Huyo ndie mtume[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Fanyeni kuelewana nyie kwa nyie kwanza, maana hata mnachozungumza hamkijui, both of you
 
*TAHADHARI*

DALILI ZA MWISHO ZA KIAMA ZA DHIHIRI.

moja ya dalili kubwa za kiama alizotaja mtume saw ni. DUNIA ITAINGIA KATIKA GIZA MUDA WA SIKU 3 MFULULIZO. Baada ya kupita Giza hili hapo milango ya toba inafungwa .. Hakuna tena toba ya MTU yoyote itakayokubaliwa..

Shirika la Nasa limethibitisha maneno ya mtume Muhammad saw kwa kusema itakapofika tarehe 16 mwezi Wa 11 mwaka huu DUNIA ITAINGIA KTK GIZA MUDA WA SIKU 3-5 ..

*TUFANYENI TOBA HARAKA KABLA MILANGO YA TOBA HAIJAFUNGWA..*
Kwanza kabisa nikwambie hiyo habari siyo kweli bali ni uzushi yani ni hoax hata kwenye web ya NASA haipo ni kama ilivyokuwa ile habari ya kuzima simu kuna mionzi inaingia duniani.
Pili wewe unayeamin Quran mbona Dajal hajaja sasa kiama kinafikaje?
Pia mbona Nabii Issa hajarudi sasa kiama kinafikaje?
Kabla ya kuleta habari jitahidi kuhakikisha umeitoa kwenye reliable source.
Mwisho kabisa tukio la mwezi litakalo tokea na mwezi kuonekana mkubwa sio mara ya kwanza uwa linatokea kila baada ya miaka 64 nadhani na mara ya mwisho lilitokea 1934 if not mistaken kwa hiyo nalo halihashilii kiama.
 
Fanyeni kuelewana nyie kwa nyie kwanza, maana hata mnachozungumza hamkijui, both of you
INAONEKANA UNAMFAHAMU SANA MTUME NA TABIA ZAKE HADI KUWAHIMIZA WAUMINI ZAKE WAOE WASICHANA WADOGO

SAHIH BUKHARI ,VOLUME 7,HADITH 5080,PAGE 27:
Jabir bin abdallah amesimulia: nilipoona mtume wa allah akasema : umeoa mke wa aina gani ? Nikajibu: wa makamu" akasema(mtume)kwanini hupendi wasichana wadogo mabikira wa kushikashika?
Mtume akamwambia jabir,"kwanini usioe msichana mdogo uwe unacheza naye
 
Hukunilipo giza limeanza tayari,
 
UMEMNUKUU VIBAYA MTUME[S.A.W],WAKATI WA HILO GIZA BADO SANA SABABU GIZA NI MOJA KATI YA DALILI ZA MWISHO LAKINI KUNA DALILI ZA MWANZO AMBAZO ZIMEONEKANA BAADH LAKINI NYINGNE BADO HAZIJAONEKANA.
Zipi hizo dalili za mwanzo ambazo zimeshaonekana?
 
INAONEKANA UNAMFAHAMU SANA MTUME NA TABIA ZAKE HADI KUWAHIMIZA WAUMINI ZAKE WAOE WASICHANA WADOGO

SAHIH BUKHARI ,VOLUME 7,HADITH 5080,PAGE 27:
Jabir bin abdallah amesimulia: nilipoona mtume wa allah akasema : umeoa mke wa aina gani ? Nikajibu: wa makamu" akasema(mtume)kwanini hupendi wasichana wadogo mabikira wa kushikashika?
Mtume akamwambia jabir,"kwanini usioe msichana mdogo uwe unacheza naye
Wewe Umekula maharage ya wapi, kwa Mfano tamaduni za Wayahudi ni mwanamke kuolewa akiwa 12yrs, mwanaume Kuoa 13yrs, that's Bikra Maria akiwa kachumbiwa(certainly less than 12yrs) alimzaa YESU .

Unakuja na deductions za udogo wa mtu Eti ana miaka 12, Unafananisha na dada zako wa milima ya Uluguru ambao kubaleghe huchukua miaka 18 kwa kukosa Lishe bora.
 
Wewe Umekula maharage ya wapi, kwa Mfano tamaduni za Wayahudi ni mwanamke kuolewa akiwa 12yrs, mwanaume Kuoa 13yrs, that's Bikra Maria akiwa kachumbiwa(certainly less than 12yrs) alimzaa YESU .

Unakuja na deductions za udogo wa mtu Eti ana miaka 12, Unafananisha na dada zako wa milima ya Uluguru ambao kubaleghe huchukua miaka 18 kwa kukosa Lishe bora.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mbona povu kwa hyo miaka 12 ndio miaka 9

ebooo ww hata upanic na uchukie ni kweli jamaa alibaka katoto ka miaka9

NA TABIA YAKE NYINGINE NI ILE YA KUWALA DENDA WANAUME

HIVI MUNGU ALIKOSEA NINI HADI AMTUME MUDY
si bora angekutuma wewe wa Nanjilinji[emoji1]
 
ukinitajia kwenye kitabu chako wapi mtu mweusi amekuwa mentioned ntaanza kuabudu upande wako kuanzia leo yaani na silim rasmi...!!kwakuwa walikuletea dini walikuwa wa baguzi kama wewe ndoma umemtusi ndugu yako
Mkuu hamtusi ndo jina lake!
 
someni maandiko mpate maarifa. Hivi aliposema hamtajua siku wala saa mndhani alikuwa anadnganya? huyo Bwan wa nyakati? Hapo hakuna NASA WA SANA
 
Mungu gani mwenye uwezo na upendo wote anamuadhibu binadamu ambaye si mtimilifu na aliye muumba kwa utashi wake mwenyewe,kama binadamu ana mapungufu yanayosababisha atende hicho mnachokiita dhambi basi tafsiri yake ni kuwa huyu Mungu naye ana mapungufu
 
Back
Top Bottom