Binti mwenye Lishe nzuri anabaleghe akiwa 9yrs old, huyo mwenye 12yrs tayari alikuwa na uzoefu wa miaka mitatu ya kubaleghe. Sasa wewe fananisha na na viandunje vya Kwenu 23yrs kinaonekana kitoto...mtume huyu huyu alieoa kitoto cha miaka 12 au kuna mtume mwingine?
mtume huyu huyu alieoa kitoto cha miaka 12 au kuna mtume mwingine?
Fanyeni kuelewana nyie kwa nyie kwanza, maana hata mnachozungumza hamkijui, both of youkwa hyo alikilawiti maana alikaoa kakiwa kana miaka 6 akakaingilia kakiwa kana miaka 9
Huyo ndie mtume[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kwanza kabisa nikwambie hiyo habari siyo kweli bali ni uzushi yani ni hoax hata kwenye web ya NASA haipo ni kama ilivyokuwa ile habari ya kuzima simu kuna mionzi inaingia duniani.*TAHADHARI*
DALILI ZA MWISHO ZA KIAMA ZA DHIHIRI.
moja ya dalili kubwa za kiama alizotaja mtume saw ni. DUNIA ITAINGIA KATIKA GIZA MUDA WA SIKU 3 MFULULIZO. Baada ya kupita Giza hili hapo milango ya toba inafungwa .. Hakuna tena toba ya MTU yoyote itakayokubaliwa..
Shirika la Nasa limethibitisha maneno ya mtume Muhammad saw kwa kusema itakapofika tarehe 16 mwezi Wa 11 mwaka huu DUNIA ITAINGIA KTK GIZA MUDA WA SIKU 3-5 ..
*TUFANYENI TOBA HARAKA KABLA MILANGO YA TOBA HAIJAFUNGWA..*
INAONEKANA UNAMFAHAMU SANA MTUME NA TABIA ZAKE HADI KUWAHIMIZA WAUMINI ZAKE WAOE WASICHANA WADOGOFanyeni kuelewana nyie kwa nyie kwanza, maana hata mnachozungumza hamkijui, both of you
Sio vizurmtume huyu huyu alieoa kitoto cha miaka 12 au kuna mtume mwingine?
Sio vizurSi afadhali yeye alioa na ni binti vipi hao wanao lawiti vitoto vya kiume vya miaka 6?!
Zipi hizo dalili za mwanzo ambazo zimeshaonekana?UMEMNUKUU VIBAYA MTUME[S.A.W],WAKATI WA HILO GIZA BADO SANA SABABU GIZA NI MOJA KATI YA DALILI ZA MWISHO LAKINI KUNA DALILI ZA MWANZO AMBAZO ZIMEONEKANA BAADH LAKINI NYINGNE BADO HAZIJAONEKANA.
Wewe Umekula maharage ya wapi, kwa Mfano tamaduni za Wayahudi ni mwanamke kuolewa akiwa 12yrs, mwanaume Kuoa 13yrs, that's Bikra Maria akiwa kachumbiwa(certainly less than 12yrs) alimzaa YESU .INAONEKANA UNAMFAHAMU SANA MTUME NA TABIA ZAKE HADI KUWAHIMIZA WAUMINI ZAKE WAOE WASICHANA WADOGO
SAHIH BUKHARI ,VOLUME 7,HADITH 5080,PAGE 27:
Jabir bin abdallah amesimulia: nilipoona mtume wa allah akasema : umeoa mke wa aina gani ? Nikajibu: wa makamu" akasema(mtume)kwanini hupendi wasichana wadogo mabikira wa kushikashika?
Mtume akamwambia jabir,"kwanini usioe msichana mdogo uwe unacheza naye
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mbona povu kwa hyo miaka 12 ndio miaka 9Wewe Umekula maharage ya wapi, kwa Mfano tamaduni za Wayahudi ni mwanamke kuolewa akiwa 12yrs, mwanaume Kuoa 13yrs, that's Bikra Maria akiwa kachumbiwa(certainly less than 12yrs) alimzaa YESU .
Unakuja na deductions za udogo wa mtu Eti ana miaka 12, Unafananisha na dada zako wa milima ya Uluguru ambao kubaleghe huchukua miaka 18 kwa kukosa Lishe bora.
Mkuu hamtusi ndo jina lake!ukinitajia kwenye kitabu chako wapi mtu mweusi amekuwa mentioned ntaanza kuabudu upande wako kuanzia leo yaani na silim rasmi...!!kwakuwa walikuletea dini walikuwa wa baguzi kama wewe ndoma umemtusi ndugu yako
Wanasemaga alipewa zawadi etimtume huyu huyu alieoa kitoto cha miaka 12 au kuna mtume mwingine?