Tetesi: Giza kuu la NASA na dalili ya kiama kwa utabiri wa Mtume (s.a.w)

Sheria zinatofautiana, miaka 9 ni Mdogo kwa sheria za TZ, hapa kwetu Mtoto wa kike 14-15yrs anaweza kuolewa kwa ruhusa ya mzazi au kibali cha mahakama. Nchi zingine mwanamke haruhusiwi kuolewa akiwa na Chini ya miaka 18(minority). Kwahiyo issue ya Ukubwa au udogo wa umri ni relative.

Kiuhalisia I told you previously mwanamke mwenye afya njema hasa kwa rangi zisizo kuwa nyeusi huanzia kubaleghe miaka 9. Na kwa sheria za nchi nyingine mtu huhesabiwa Adult baada ya kuvunja ungo

Mwisho kabisa usilinganishe dada zako wa kimatumbi na Wanawake ngozi nyeupe, Dada zako hufikisha hata 20yrs hawajabaleghe
 
unataka kusema kipindi cha mtume watu walikuwa wana barehe haraka kuzidi sasa!
 
Reactions: PNC
Ni sheria ya nchi gani duniani mwanamke anaruhusiwa kuolewa akiwa na miaka 9

HALAFU TUJUE HUYU MTU NI WA AINA GANI[emoji41]

BADO NAULIZA MUNGU ALIKOSEA NINI HADI AKAMTUMA HUYU MUDY

HAKIKA ALLAH SIO MUNGU NA HATOKAA AWE MUNGU
 
makubwa haya!
 
si walisema ni leo mbona naona jua ni kali kuliko siku zote, jana walisema mwezi kuonekana mkubwa zaidi kwani ulikuwa karibu na dunia, sijauona labda walioona watasema kweli
huenda mkulu amelipeleka tena hilo tukio la mwezi mbeya baada ya kupatwa kwa jua watu kumshukuru sana kwamba amewapa upendeleo,afadhali imekuwa zamu yao, so wa huko watujuze
 
Ni sheria ya nchi gani duniani mwanamke anaruhusiwa kuolewa akiwa na miaka 9

HALAFU TUJUE HUYU MTU NI WA AINA GANI[emoji41]

BADO NAULIZA MUNGU ALIKOSEA NINI HADI AKAMTUMA HUYU MUDY

HAKIKA ALLAH SIO MUNGU NA HATOKAA AWE MUNGU
These are the countries where child marriage is legal

Nilikuwa nakuheshimu sana, Nimekuja kujua Wewe ni kopo miongoni mwa makopo mengi yanayopatikana JF
 
Hizi ni tetesi zisizo na ukweli wowote wa kisayansi. Nadhani ujuzi wa lugha iliyotumika kwa mleta mada ni dhahiri inamchanganya.
 
Hizi ni tetesi zisizo na ukweli wowote wa kisayansi. Nadhani ujuzi wa lugha iliyotumika kwa mleta mada ni dhahiri inamchanganya.
baada ya tetezi zote za sayansi kwisha bila mafanikio na wanadamu kukosa majibu,ndipo ghafla ule mwisho huja
 
huenda mkulu amelipeleka tena hilo tukio la mwezi mbeya baada ya kupatwa kwa jua watu kumshukuru sana kwamba amewapa upendeleo,afadhali imekuwa zamu yao, so wa huko watujuze
nipo zanzibar huku naona hali kama jioni jioni wakati ni saa 8, pengine ni kweli
 
baada ya tetezi zote za sayansi kwisha bila mafanikio na wanadamu kukosa majibu,ndipo ghafla ule mwisho huja
Kwa mstakabali huo wangesema siku tatu lakini siku kumi na tano[emoji38] [emoji38] [emoji15] [emoji15]
 
daaaah kweli ww ni bonge la kopo sasa hyo link ndio inakatiba zinazoruhusu kuoa mtoto wa miaka 9 wewe kweli ni mfuniko
''For example, in Bangladesh, women must be 18 and men must be 21 to marry.

In Sudan, girls can marry at 10 and boys can marry at 15 or at puberty.

Sometimes the marriage age depends on religious affiliation. In the Philippines, Muslim boys can marry at 15 and Muslim girls can marry at puberty."

Hayo ni kati ya maelezo yaliyopo kwenye hiyo link , yapitie na Kama Lugha inasumbua muite Nyani Ngabu akusaidie, Mimi nina kazi nyingi za kufanya

Brother Unazidi kudhihirisha ulivyo kopo
 
kuonekana kwa mwezi kuwa mkubwa sana inadhihirisha kuwa Mungu yupo
 
Acha kumhusisha Mtume SAW na vitu kama hivi, hakuna Qiyama mpaka aje Masih Dajjal , then arudi NAbii Issa Juu yake iwe amani then ndio kiwe Qiyama. zaidi ya hapo ni uzushi!
 
hivi mkuu kichwani zipo sawasawa(samahani japo imebidi)

weka ushahid wa nchi inayoruhusu kumuoa mtoto wa miaka 9

HIYO NDIO POINT sasa miaka 15 inanihusu nini[emoji41]
 
hivi mkuu kichwani zipo sawasawa(samahani japo imebidi)

weka ushahid wa nchi inayoruhusu kumuoa mtoto wa miaka 9

HIYO NDIO POINT sasa miaka 15 inanihusu nini[emoji41]
Wewe mshkaji ni bonge la kiazi, soma tena hapa ukishindwa kuelewa pita hivi[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]

" In the Philippines, Muslim boys can marry at 15 and Muslim girls can marry at puberty."

Au hujui maana ya puberty?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…