Glasgow, Scotland: Rais Samia akutana na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson

Mama anaupiga mwingi sana hahaha...
Your browser is not able to display this video.
 
We ndio MJINGA wa mwisho huyu nani[emoji1313][emoji1313][emoji1313]

Ficha ujinga wako kenge we!
 
najisikia fahari na faraja kumuona Rais wangu Samia akijumuika na viongozi wenzake Duniani.
Hakika Samia ni kiongozi.
 
Mama anaupiga mwingi sana.....
Your browser is not able to display this video.
 
Nilikuahidi picha, nimekuletea mpuuzi, unabaki kupiga propaganda tu hapa, jinga kubwa
Kumbe AKILI HUNA nilikuambia uniletee video ya mazungumzo hata ya huyo mjumbe
Iko wapi TBC hawakwenda huko? Acheni propaganda za kijinga. kuhusu kuhutubia alomost viongozi wote watahutubia, so hilo halina msingi
 
Tanzania tunaheshimishwa tena kwa sasa, Asante Samia....
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…