Nyamatare1987
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 416
- 493
Hivi wote ni wafupi au Chief ndo kazidi ufupi😂😂😂Rais wa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson katika masuala ya Biashara kati ya Uingereza na Tanzania, Lord John Walney
Rais Samia amesema Serikali ya Uingereza na Tanzania zimekuwa na ushirikiano wa kibiashara kwa muda mrefu, na Uingereza ni moja kati ya nchi zinazoongoza kuwekeza Nchini
View attachment 1994240
Hewala bwana sio Utumwa.Hahaha, kuichukia nchi yenu hakutowasaidia chochote wapuuzi nyinyi, nitawatumia picha zake zote akiwa huko kuwaonesha jinsi gani nyie ni vilaza, Pumbaf
Yupi sasa sio mnafiki,kuna mtu mnafiki kama Chifu,basi dunia nzima hakuna mnafiki,kama huyu nyamititi sio mnafikiWana hasira haswaa, hawataki kuongozwa na serikali isiyo na unafiki na uongo, Inayoongozwa na mtu safi asiye na doa la ufisadi
Wanajaribu kutamfuta lakini wanamkosa. Walishajiweka kama vile hii nchi ni ya kwao, imewauma sana Mungu kuamua kwa faida ya Tanzania nzima.Mama hana kandokando hata moja, hili linawaumiza sana hawa mafisadi
Hasira na machungu yamekujaa ndani ya nafsi yako, pole mkuu.Yupi sasa sio mnafiki,kuna mtu mnafiki kama Chifu,basi dunia nzima hakuna mnafiki,kama huyu nyamititi sio mnafiki
Wamebaki kulialia tu, tuna Rais ambaye ni mwema 100%Wanajaribu kutamfuta lakini wanamkosa. Walishajiweka kama vile hii nchi ni ya kwao, imewauma sana Mungu kuamua kwa faida ya Tanzania nzima.
Kikwete alikuwa anawahonga wapinzani ili awatumie kwa manufaa yake, JPM na Mama wamekataa huo upuuziRais Mstaafu Kikwete alikuwa anaalikwa na Viongozi walikuwa wanagombania kupiga Picha nae.
Kwasababu aliachia Demokrasia ikomae sasa huyu Mama sijui anadanganywa na nani mpaka atembee na bendera kubwa kama taulo.
Yarabi stara.
Sio kweli, mimi wakati huo nilikuwa Kada mtiifu wa CCM, Kikwete aliweka uwanja huru wa kufanya SiasaKikwete alikuwa anawahonga wapinzani ili awatumie kwa manufaa yake, JPM na Mama wamekataa huo upuuzi
Mbona ma Raisi wa nchi nyingine hawa tembei hovyo mfano Botswana, Namibia, Ghana, Vietnam, Singapore, Irani, Korea,Nyie miafrika mbona hamjiamni? Au mnafikiri kujifungia ndani kama mwendazake ndo maendeleo. Toka nje kapambane hayo ndo maendeleo kijana
1.3 wew umepata ngapi .mbona wafanya biashara wanadai heri enzi za maguMAMA KAJITAHIDI KUIFUNGUA KWELI NCHI LAKINI BADO HALI NI NGUMU SANA HUKU CHINI,SASA NATAFAKARI MAMA AMEMWAGA FEDHA 1.3TR,LAKINI BADO MZUNGUKO HAUJAKAA,JE YULE BWANA KAMUA KAMUA ANGELIKUWEPO MPAKA LEO HII SIJUI HALI INGEKUWAJE?KWA WANANCHI WA KAWAIDA,UKIONDOA MASWAHIBA ZAKE
Wanaweza kuwa wanatembea kwa miguu labda.Mbona ma Raisi wa nchi nyingine hawa tembei hovyo mfano Botswana, Namibia, Ghana, Vietnam, Singapore, Irani, Korea,
Ukiona kiongoz wa nchi yoyote ana penda kutembea nchi za watu huyo haji elewi kwanin atembee yeyetu mbona Raisi wa Ghana, sijawai kumuona wala kusikia akienda kuombaomba Kwa wazungu?Nani analalamika? Naongelea maneno ya walio wengi mitaani mpaka kariakoo.(tujifunze kuwa kauli ya walio wengi)
Mama hataki kubembelezeana, kila mtu apambane na hali yake! Najua ugomvi wako na mama ni kesi ya Mbowe, lets wait and see, kesi ipo hewani, hakuna ataonewa kwenye hii kesiSio kweli, mimi wakati huo nilikuwa Kada mtiifu wa CCM, Kikwete aliweka uwanja huru wa kufanya Siasa
Mimi nampenda Samia, ila napenda aachane na Siasa za Awamu ya Tano zilizokuwa zimejaa chuki na zilizokuwa zimeligawa Taifa.
Kukosoa sio chuki kweni akitupa Katiba mpya yeye atapungukiwa na nini?,kweni akiondoa kero za Muungano yeye atapungukiwa na nini?
Kweni akiruhusu sisi Wapinzani tupige pelepete zetu bila kuvunja Sheria yeye atapungukiwa na nini?
Dunia ya leo Wawekezaji wanaogopa kuleta mitaji yao sehemu ambayo kuna ukandamizaji.
Seems huna kumbukumbu hata ya maneno kwenye sentensi zako! Unamtaka mwandishi aache generalisation lakini wewe mwenyewe katika maandishi hayo una- generalise! Anaejua umuhimu wa tozo kwa maendeleo ya nchi, haimuumiziAcha ku generalise..kama una mpenda ni wewe..hizi tozo zinaumiza watanzania.
#MaendeleoHayanaChama
Walivyo wafupi kama............Kamati ya roho mbaya, kuliombeya mabaya taifa letu....
Kwa nini Johnson Mwenyewe asikutane naye kama kiongozi mwenzake, badala yake amtumie ujumbe tu.Kwani huyo mwenyewe hajahudhuria mkutano mpaka atutumie mjumbe