kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Haya twende. Safari hii sijui wanamwingiza mkenge gani hawa waingereza..ni wajanja sana mama hawawezi 😂😂🤔🤔Haya twende.....
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya twende. Safari hii sijui wanamwingiza mkenge gani hawa waingereza..ni wajanja sana mama hawawezi 😂😂🤔🤔Haya twende.....
![]()
Mbona ma Raisi wa nchi nyingine hawa tembei hovyo mfano Botswana, Namibia, Ghana, Vietnam, Singapore, Irani, Korea,
Tunaambiwa anatangaza fursa za utalli Tanzania, Je, ndio yale mambo ya Terrorsm ya kule mahakama ya viongozi wa upinzani?Rais wa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson katika masuala ya Biashara kati ya Uingereza na Tanzania, Lord John Walney
Rais Samia amesema Serikali ya Uingereza na Tanzania zimekuwa na ushirikiano wa kibiashara kwa muda mrefu, na Uingereza ni moja kati ya nchi zinazoongoza kuwekeza Nchini
View attachment 1994240
![]()
Nilijua anaenda kuvizia watu wa kupiga nao pichaRais wa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson katika masuala ya Biashara kati ya Uingereza na Tanzania, Lord John Walney
Rais Samia amesema Serikali ya Uingereza na Tanzania zimekuwa na ushirikiano wa kibiashara kwa muda mrefu, na Uingereza ni moja kati ya nchi zinazoongoza kuwekeza Nchini
View attachment 1994240
![]()
Mulamula...Walivyo wafupi kama............
Mama anashauriwa na wajanja wa mjini, na yeye ni mjanja piaHaya twende. Safari hii sijui wanamwingiza mkenge gani hawa waingereza..ni wajanja sana mama hawawezi 😂😂🤔🤔
Kwani huyo mwenyewe hajahudhuria mkutano mpaka atutumie mjumbe
Kama unasema hatujafanya biashara na Uingereza, basi sasa ndio tunaanza , kazi ya Tony Blair hiyo!!!
#Kagame yupo Italy muda huu.Ukiona kiongoz wa nchi yoyote ana penda kutembea nchi za watu huyo haji elewi kwanin atembee yeyetu mbona Raisi wa Ghana, sijawai kumuona wala kusikia akienda kuombaomba Kwa wazungu?
Wamepiga vipi kwaniSijapenda namna ya upigaji wao picha
Kapiga picha na mpita njia[emoji16]Kamati ya roho mbaya, kuliombeya mabaya taifa letu....
![]()
Wamepiga vipi kwani
Nenda kaangalie takwimu za uchumi hasa sekta ya kilimo. Wale Brooke Bond pale Njombe wanauza wapi ile chai yao.Aache uongo lini tumefanya biashara na Uingereza
Huyu hapa na PM Boris Johnsonwakikwisha fanya side meeting kabla:Kwani huyo mwenyewe hajahudhuria mkutano mpaka atutumie mjumbe
Magari 25 ya kuchimba visima vya maji sio utetezi kwa kinamama kupata maji? Mitambo 5 ya kupima upatikanaji wa maji kabla ya kuchimba si utetezi kwa kinamama kupata maji? Tukosoe lakini tuwe rational sio kwa chuki.Amekutana na kufanya mazungumzo.
Tunahitaji matokeo.
Tunaomba sana jamanii,
Kina mama hawana maji na hakuna wa kuwatetea.
Amefanya mazungumzo au wamepiga picha,ila viongozi wetu wanapenda picha[emoji16]Huyu hapa na PM Boris Johnsonwakikwisha fanya side meeting kabla:
View attachment 1994956
Kumuuzia Pacemaker Kayafa MwendakuzimuAache uongo lini tumefanya biashara na Uingereza
Sawa kubwa jingaaaa
Kweli kwa Nini mwenyeji Hana BENDERA ? Dah hapa tunapigwa.Yaani mwenyeji hana BENDERA, tumeshtuka mlitaka kutuingiza chaka😎😎😎