cleverbright mtu aliye bana pumbuuu ili Samatta asishinde kwa kudai ana ona mambo kwa kina na mapana yake na badaye kuaibika vibaya baada ya samatta kutangazwa mshindi njoo ujibu huku.. Pumbaaaavu
Mnamkumbuka Kikwete.
why not, unataka ikulu waende watu wa aina gani ndio uridhike, kati ya kazi nyingi za rais ni pamoja na hiyo...waende maprofesa vyuo vikuu wanaotafuna vitoto usiku na mchana, Magufuli muite samata !Sioni sababu ya kumwalika.. atamtumia salama za pongezi kwisha.. Magufuli ana mambo mengi ya kufanya..
Ingekua JK kwanza jana naye yeye angekua huko Nigeria.. na wangerudi wote kwenye kwa kutumia ndege ya Rais.. kisha leo kungekua na bonge la party ikulu.. angeamuru baada ya bunge kufunguliwa samatta akawasalimie wabunge... na leo ingekua public holiday...haaaa JK safi sana..
poa mkuu kwa video dogo kaweka historia Tanzania oyeeeeeeeeeeeee
Sisi ni kichwa cha mwenda wazimu kasoro samata tu!