Unapambana na mtu kama Lissu, si basi utumie akili hata kidogo isionekane ni muvi ya kutengeza? Yaani wote mnachukua habari ile ile, mtu yule yule na vichwa vinafanana CCM ndio mmeishiwa kiasi hiki?
Mlifanya kwa Kitima ikagoma sasa mmehamia huku? Ila katika hawa wote, Jambo mmeniangusha sana. Mmefikaje huku? Msiniambie hamkujua kama mmetumika, kwamba mmeona ni habari tu ya kawaida ambayo wananchi wanataka kujua!🤔🤔Wale EFM ndio wamejifanya kufuta, wapuuzi kabisa, tuna risiti ya upumbavu wenu.
TBC tunajua nyinyi ni wapuuzi ila hiini too much. Mngeendelea kufanya ule unafiki wenu wa kutorusha matangazo ya wapinzani, ila kwakuwa chawa wote ni wapuuzi mkatembea na script🤦♀️🤦♀️
EATV ukajipambanua eti ukapost watu wa Dar, wenyewe mkaona hapo ndio mmeonesha diversity ila ITV ikafeli, ikarudi kwenye script ... na watu wanaohojiwa hawazidi 5, halafu ukipitia title zinasema wanajamii!
Mnazidi kujiharibia kwenye credibility yenu na ugali wenu! Kinachoshangaza ni kuwa hamjifunzi, maana mwisho huwa ni ule ule, mnatemwa na mmekufa hivyo.
Ujinga unaanzia hapa...Kwamba Online TVs zote, zimeenda Ikungi siku Moja, zimewahoji hao wavaa kibaraghashia siku Moja, watu wale wale wamehojiwa na Media zilezile .
Kituko Sasa, mahojiano yamerushwa siku Moja ileile .
Hoja za Machawa ni zile zile
Tanzania ni Nchi ya Amani... Amani inaletwa na CCM.
Mimi nilisema, CCM msitumie Machawa ,kama mnakoswa watu kaeni kimya .
KUA MZEE TU HAKUTOSHI KUJIBU HOJA ZA LISSU, LISSU ANAJIBIWA NA WAZEE, WASOMI WA KUELIMIKA, WENYE AKILI PIA WANAOZUNGUMZA KATIKA UKWELI .
Ona Sasa, hivi kweli CCM huko Ndani hamna kabisa watu makini wa kutengeneza Movies zakuuzika ??.
Unapambana na mtu kama Lissu, si basi utumie akili hata kidogo isionekane ni muvi ya kutengeza? Yaani wote mnachukua habari ile ile, mtu yule yule na vichwa vinafanana CCM ndio mmeishiwa kiasi hiki?
Mlifanya kwa Kitima ikagoma sasa mmehamia huku? Ila katika hawa wote, Jambo mmeniangusha sana. Mmefikaje huku? Msiniambie hamkujua kama mmetumika, kwamba mmeona ni habari tu ya kawaida ambayo wananchi wanataka kujua!🤔🤔Wale EFM ndio wamejifanya kufuta, wapuuzi kabisa, tuna risiti ya upumbavu wenu.
EATV ukajipambanua eti ukapost watu wa Dar, wenyewe mkaona hapo ndio mmeonesha diversity ... na watu wanaohojiwa hawazidi 5, halafu ukipitia title zinasema wanajamii!
Mnazidi kujiharibia kwenye credibility yenu na ugali wenu! Kinachoshangaza ni kuwa hamjifunzi, maana mwisho huwa ni ule ule, mnatemwa na mmekufa hivyo.
Unapambana na mtu kama Lissu, si basi utumie akili hata kidogo isionekane ni muvi ya kutengeza? Yaani wote mnachukua habari ile ile, mtu yule yule na vichwa vinafanana CCM ndio mmeishiwa kiasi hiki?
Mlifanya kwa Kitima ikagoma sasa mmehamia huku? Ila katika hawa wote, Jambo mmeniangusha sana. Mmefikaje huku? Msiniambie hamkujua kama mmetumika, kwamba mmeona ni habari tu ya kawaida ambayo wananchi wanataka kujua!🤔🤔Wale EFM ndio wamejifanya kufuta, wapuuzi kabisa, tuna risiti ya upumbavu wenu.
EATV ukajipambanua eti ukapost watu wa Dar, wenyewe mkaona hapo ndio mmeonesha diversity ... na watu wanaohojiwa hawazidi 5, halafu ukipitia title zinasema wanajamii!
Mnazidi kujiharibia kwenye credibility yenu na ugali wenu! Kinachoshangaza ni kuwa hamjifunzi, maana mwisho huwa ni ule ule, mnatemwa na mmekufa hivyo.
Cha kushangaza ni nini hapo katika Siasa za Majitaka ? Au ulikuwa hujui kwamba ndio Siasa za Bongo ?, Na kwa sehemu kubwa sana siasa za Kidunia; Unategemea nini zaidi ya kuchafuana kama agenda nyingi ni kuhusu matukio na Watu
Unapambana na mtu kama Lissu, si basi utumie akili hata kidogo isionekane ni muvi ya kutengeza? Yaani wote mnachukua habari ile ile, mtu yule yule na vichwa vinafanana CCM ndio mmeishiwa kiasi hiki?
Mlifanya kwa Kitima ikagoma sasa mmehamia huku? Ila katika hawa wote, Jambo mmeniangusha sana. Mmefikaje huku? Msiniambie hamkujua kama mmetumika, kwamba mmeona ni habari tu ya kawaida ambayo wananchi wanataka kujua!🤔🤔Wale EFM ndio wamejifanya kufuta, wapuuzi kabisa, tuna risiti ya upumbavu wenu.
EATV ukajipambanua eti ukapost watu wa Dar, wenyewe mkaona hapo ndio mmeonesha diversity ... na watu wanaohojiwa hawazidi 5, halafu ukipitia title zinasema wanajamii!
Mnazidi kujiharibia kwenye credibility yenu na ugali wenu! Kinachoshangaza ni kuwa hamjifunzi, maana mwisho huwa ni ule ule, mnatemwa na mmekufa hivyo.
Unapambana na mtu kama Lissu, si basi utumie akili hata kidogo isionekane ni muvi ya kutengeza? Yaani wote mnachukua habari ile ile, mtu yule yule na vichwa vinafanana CCM ndio mmeishiwa kiasi hiki?
Mlifanya kwa Kitima ikagoma sasa mmehamia huku? Ila katika hawa wote, Jambo mmeniangusha sana. Mmefikaje huku? Msiniambie hamkujua kama mmetumika, kwamba mmeona ni habari tu ya kawaida ambayo wananchi wanataka kujua!🤔🤔Wale EFM ndio wamejifanya kufuta, wapuuzi kabisa, tuna risiti ya upumbavu wenu.
EATV ukajipambanua eti ukapost watu wa Dar, wenyewe mkaona hapo ndio mmeonesha diversity ... na watu wanaohojiwa hawazidi 5, halafu ukipitia title zinasema wanajamii!
Mnazidi kujiharibia kwenye credibility yenu na ugali wenu! Kinachoshangaza ni kuwa hamjifunzi, maana mwisho huwa ni ule ule, mnatemwa na mmekufa hivyo.
Ujinga unaanzia hapa...Kwamba Online TVs zote, zimeenda Ikungi siku Moja, zimewahoji hao wavaa kibaraghashia siku Moja, watu wale wale wamehojiwa na Media zilezile .
Kituko Sasa, mahojiano yamerushwa siku Moja ileile .
Hoja za Machawa ni zile zile
Tanzania ni Nchi ya Amani... Amani inaletwa na CCM.
Mimi nilisema, CCM msitumie Machawa ,kama mnakoswa watu kaeni kimya .
KUA MZEE TU HAKUTOSHI KUJIBU HOJA ZA LISSU, LISSU ANAJIBIWA NA WAZEE, WASOMI WA KUELIMIKA, WENYE AKILI PIA WANAOZUNGUMZA KATIKA UKWELI .
Ona Sasa, hivi kweli CCM huko Ndani hamna kabisa watu makini wa kutengeneza Movies zakuuzika ??.
Unapambana na mtu kama Lissu, si basi utumie akili hata kidogo isionekane ni muvi ya kutengeza? Yaani wote mnachukua habari ile ile, mtu yule yule na vichwa vinafanana CCM ndio mmeishiwa kiasi hiki?
Mlifanya kwa Kitima ikagoma sasa mmehamia huku? Ila katika hawa wote, Jambo mmeniangusha sana. Mmefikaje huku? Msiniambie hamkujua kama mmetumika, kwamba mmeona ni habari tu ya kawaida ambayo wananchi wanataka kujua!🤔🤔Wale EFM ndio wamejifanya kufuta, wapuuzi kabisa, tuna risiti ya upumbavu wenu.
EATV ukajipambanua eti ukapost watu wa Dar, wenyewe mkaona hapo ndio mmeonesha diversity ... na watu wanaohojiwa hawazidi 5, halafu ukipitia title zinasema wanajamii!
Mnazidi kujiharibia kwenye credibility yenu na ugali wenu! Kinachoshangaza ni kuwa hamjifunzi, maana mwisho huwa ni ule ule, mnatemwa na mmekufa hivyo.
Ujinga unaanzia hapa...Kwamba Online TVs zote, zimeenda Ikungi siku Moja, zimewahoji hao wavaa kibaraghashia siku Moja, watu wale wale wamehojiwa na Media zilezile .
Kituko Sasa, mahojiano yamerushwa siku Moja ileile .
Hoja za Machawa ni zile zile
Tanzania ni Nchi ya Amani... Amani inaletwa na CCM.
Mimi nilisema, CCM msitumie Machawa ,kama mnakoswa watu kaeni kimya .
KUA MZEE TU HAKUTOSHI KUJIBU HOJA ZA LISSU, LISSU ANAJIBIWA NA WAZEE, WASOMI WA KUELIMIKA, WENYE AKILI PIA WANAOZUNGUMZA KATIKA UKWELI .
Ona Sasa, hivi kweli CCM huko Ndani hamna kabisa watu makini wa kutengeneza Movies zakuuzika ??.
Hizi naweza sema kwa mtizamo wangu, haya yote yameandaliwa na Waziri fulani anaetokea maeneo ya Mkoa huo huo Mmiliki wa timu ya mpira na kampuni fulani ya mabasi. Yule ana siasa za kishamba sana.
Unapambana na mtu kama Lissu, si basi utumie akili hata kidogo isionekane ni muvi ya kutengeza? Yaani wote mnachukua habari ile ile, mtu yule yule na vichwa vinafanana CCM ndio mmeishiwa kiasi hiki?
Mlifanya kwa Kitima ikagoma sasa mmehamia huku? Ila katika hawa wote, Jambo mmeniangusha sana. Mmefikaje huku? Msiniambie hamkujua kama mmetumika, kwamba mmeona ni habari tu ya kawaida ambayo wananchi wanataka kujua!🤔🤔Wale EFM ndio wamejifanya kufuta, wapuuzi kabisa, tuna risiti ya upumbavu wenu.
EATV ukajipambanua eti ukapost watu wa Dar, wenyewe mkaona hapo ndio mmeonesha diversity ... na watu wanaohojiwa hawazidi 5, halafu ukipitia title zinasema wanajamii!
Mnazidi kujiharibia kwenye credibility yenu na ugali wenu! Kinachoshangaza ni kuwa hamjifunzi, maana mwisho huwa ni ule ule, mnatemwa na mmekufa hivyo.
Unapambana na mtu kama Lissu, si basi utumie akili hata kidogo isionekane ni muvi ya kutengeza? Yaani wote mnachukua habari ile ile, mtu yule yule na vichwa vinafanana CCM ndio mmeishiwa kiasi hiki?
Mlifanya kwa Kitima ikagoma sasa mmehamia huku? Ila katika hawa wote, Jambo mmeniangusha sana. Mmefikaje huku? Msiniambie hamkujua kama mmetumika, kwamba mmeona ni habari tu ya kawaida ambayo wananchi wanataka kujua!🤔🤔Wale EFM ndio wamejifanya kufuta, wapuuzi kabisa, tuna risiti ya upumbavu wenu.
EATV ukajipambanua eti ukapost watu wa Dar, wenyewe mkaona hapo ndio mmeonesha diversity ... na watu wanaohojiwa hawazidi 5, halafu ukipitia title zinasema wanajamii!
Mnazidi kujiharibia kwenye credibility yenu na ugali wenu! Kinachoshangaza ni kuwa hamjifunzi, maana mwisho huwa ni ule ule, mnatemwa na mmekufa hivyo.
Mkosoeni kwa kujibu hoja zilizotolewa kwa ku - prove kuwa, CHADEMA are wrong, Tundu Lissu is wrong...
Mfano, Moja ya hoja iliyowaingia watu na kutafakarisha sana ni hii ya KUTOKUWEPO KWA MGAWANYO WA HAKI NA USAWA WA MAJIMBO YA UCHAGUZI WA WABUNGE..
Hebu fikiri haya👇👇
1. Inawezekana vipi Zanzibar yenye wapiga kura 500,000 tu iwe na majimbo ya uchaguzi (Wabunge) 50 wa kuingia ktk Bunge la JMT wakati huohuo DSM yenye wapiga kura 3,000,000+ iwe na majimbo ya uchaguzi (Wabunge) 10 pekee?
2. Kama wewe hapo ulipo una akili kichwani mwako kwelikweli na za maana, unaweza kueleza ni kigezo gani kimetumika kufanya mgawanyo huu...?
3. Huo mgawanyo una - make sense kweli kwako..? Kwanini NEC inafanya hiv? Unadhani ni nini motives za NEC kuwa mgawanyo wa kipuuzi hivi..?
4. Je, hii nayo mnaweza kuipinga kuwa sio hoja, sio tatizo linalohitaji reforms za kisheria na kikatiba sawasawa na kauli mbiu ya CHADEMA ya NO REFORMS, NO ELECTION...?
##Kama ni hoja, hawa wazee mnaoenda kuwarekodi huko Singida na kuwarusha mitandaoni ndiyo wanajibu hoja hizo au kwa makusudi tu mmeamua kwenda more extra miles za ujinga na upumbavu wenu...??
##Mpka hapa mimi nashindwa kuamini kama vituko hivi vinafanywa na wana CCM wenye akili timamu kweli au walevi na wendawazimu fulani hivi...!!??