Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemshinda ibilisi mkuu aliyenipiga kibuti alikua anatingisha kibiriti.Mkuu mshinde ibilisi, akikutenda mmoja wapo wengine kibao huko nje, there so many fishes in the pond!
HaleluyaaaNimemshinda ibilisi mkuu aliyenipiga kibuti alikua anatingisha kibiriti.
Karata dume itakufanya ulewe na kula nyama mnadaniza afande sele vp?
AmenHaleluyaaa
hahaaaaMkuu me naogopa hata kuusikiliza maana nina majanga yangu usije kunimalizia
Sent using Jamii Forums mobile app
I do agree...huyo ni roho wa kifo aliyendani ya mwimbo huo!
Na mapenzi pia matamu mkuu, its a matter of priority!Kweli tumepishana jaman hisia..dah💃💃💃..maisha yalivyo matamu hvi💃💃💃😉
Sema hapa kitakachowasaidia ndugu zetu wanyalu hakuna mashairi ya kihehe ya huu wimbo, vinginevyo mambo yangekuwa mengi kweliHapa chungeni wahehe wasiingie maana ndo zao mambo yatakua mengi hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂Sema hapa kitakachowasaidia ndugu zetu wanyalu hakuna mashairi ya kihehe ya huu wimbo, vinginevyo mambo yangekuwa mengi kweli
Na mapenzi pia matamu mkuu, its a matter of priority!
UMENENA NENO LENYE UKWELI.Sometimes Shetani huvuvia maroho yake kwenye nyimbo