Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,343
- 7,516
Kwahiyo bado kuna watu hai wako chini ya kifusi? Mali hazijaharibika?Uokoaji!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo bado kuna watu hai wako chini ya kifusi? Mali hazijaharibika?Uokoaji!
Ama wewe ndio mmiliki wakeTunaokoa kwanza picha baadae!
Technologia ya ' expansion joint ' hiyo!Habari inasikitisha Sana hiyo nimeona kwa ufupi live coverage EATV inasemekana kuna bibi miongoni mwa marehemu ambaye mwezi uliopita kafiwa na binti yake aliyekuwa mjamzito. Wakandarasi wetu mtusaidie kuondokana na maafa haya yanayoweza kuepukika.
Reporter yuko vizuri👏
Hawachomoki, wajiandae tu
Unaweza ku-type hapa unashindwa kupiga picha?Tunaokoa kwanza picha baadae!
Kumbe wachaga ndo kila kitu mjini, kujenga wao, baa zao, maduka yao, hotel na guest zao, nyama choma zao,elimu yao nk nk sasa wengine makabila yenu viiiipiiiiWachaga wamekula sementi za kutosha
USSR
Tanroads na Majengo tena?Na alietoa kibali maana pale ni tanroad
Hapo mwenye nyumba anachomoka kiulaini kama alifuata taratibu za ujenzi, ila kama zile za kununua ramani barabarani afu anatafuta mafundi, aaah imekula kwake aseeMkandarasi na Mwenye nyumba imekula kwao