Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
hawa mafundi wamepiga hela mwishowe na wenyewe wamepata maafaKweli jamani
Hizo nondo mbona kama kibanda changu cha kuku?
Kweli mkandarasi anaponaje hapo?
View attachment 2035159
Kweli jamani
Hizo nondo mbona kama kibanda changu cha kuku?
Kweli mkandarasi anaponaje hapo?
View attachment 2035159
Ni ngumu Kwa mpumbavu kuficha ujinga.Fichaga upumbavu wako kwa kukaa kimya.
Ile mitaa hakuna kabila lingine wamekaza kama ubwawaKumbe wachaga ndo kila kitu mjini, kujenga wao, baa zao, maduka yao, hotel na guest zao, nyama choma zao,elimu yao nk nk sasa wengine makabila yenu viiiipiiii
Liliinuka gorofa ya ngapi kabla kuporomoka
hawa mafundi wamepiga hela mwishowe na wenyewe wamepata maafa
Majirani wana kosa gani?Natanguliza poleza za dhati kwa wa hanga wa tukio hilo. MUNGU azilaze roho za marehemu mahala pema peponi. Majeruhi GET WELL SOON.
NANI ALAUMIWE KWA HILO?
....Mwenye Jengo!!!?
....Fundi/mkandarasi au
.....majirani ambao ndio wahaga zaidi.
NIKIWA KAMA MDAU WA UJENZI
Ningependa nitoe ushari huu ...
CHEAP IS EXPENSIVE
DEDICATION KWA CLIENT WOTE WAPENDA DEZO
Nani alaumiwe?Majirani wana kosa gani?